Aliyewaficha waliotengeneza Korona ni nani; Siamini kama dunia imeshindwa kuwatambua wahusika wakati kila kitu kiko wazi!?

Aliyewaficha waliotengeneza Korona ni nani; Siamini kama dunia imeshindwa kuwatambua wahusika wakati kila kitu kiko wazi!?

Sikia wewe utakaye waka mata hao wahuni!! watakukomesha hivi; wanakupa vya kwako peke yako km adhabu na unavipeleke kwa familia yako kabisaa unaona hivi watoto wako na mkeo wanataabika!!! halafu unarudi kuwaomba dawa na msamaha tena juu!!

je nani atadhubutu kufanya hivyo? au unadhani mamlaka za huko kwao hazijui? hao hao ndo wamewapa kuongoza hizo mamlaka tena lao ni moja kabisaaa!! sasa jifanyishe uwageuke uone muziki wake!!!

Hizo ndo sirikali za kibabe na akili mingi halafu wao na familia zao wanapeta tu kirorho safiiiii! , hawaugui!!! hawachanjwi, hawaguswi hata unywele!! msio na akili, Mambululaa! ndo km hivi! mtachezewa weeeee! mpaka mtie akili!!

Suala ni kupiga magoti tu muwaombe! na mjipendekeze sana jamani chonde!! chonde!! punguzeni.hapa..
hata uwe na vinu vya nuclear vipi!! tena za kutosha mbele ya virus vya kimya kimya!! utakufa vibaya heee!! na hizo Nuclea weapons zako za kibabe zitabaki nzimaaa. zitabakia mazalia ya panya tu! covid havionekani vile!

Sasa vinakuja special ajili ya watu weusi tu!! make vya sasa mko wabishi kidogo na kashfa nyingi!! kirusi kinachokuja kinaua mpaka na sisimizi, majani achilia mbali mifugo. halafu watawaaacha kiwapige bure bila dawa km miaka miwili hivi mfe vizuri,

sasa hapo mleta mada hamjatia akili tu? na gwajima weenu muongo huyo!, hajui hata simple mechanism ya Maabara? na usisahau jiwe wenu huyo!!

kwanza mtakufa na mambo mawili

moja; na virus then

cha pili njaa!!! sababu hamtazalisha! mtakufa mnajiona hivi! wenzenu wana mahela! sijui mtamlilia yesu wenu wa vatican yule! nae atawageuka tu! hatawasikiliza kwa sababu ni mzungu mwenzao yule!

kudadaaadeki na Rais wenu anawaponza! anabwabwaja sana, Mabeberu hawajafurahia hizo kauli mbuzi zake!! kwa mtizamo wa Jiwe na waafrica wenzake! eti wao weupe wafe na nyie nyani mnapeta??! subirini tu mtaipata fresh!

Mwezi wa saba siyo mbali!! si hamtaki kufanyiwa majaribio? wanakuja wana hasira na nyie hao! heee! makaburi myachimbe kabisaaa makaburi yenu!! Jiwe anawaponza wanatamani waanze nae! tena watamletea kile chenyewe hasa!

Hivi tunavo bwabwaja hapa wanatuona vizuri sana labda waogope kelele zetu!! ndo itakuwa pona pona yake! wao km kawaida wanaanziaga mbaaali, km kina shana, Rose mary nyerere walivo vuta, lkn lengo ni jiwe!
You must be mentally retarded
 
Sikia wewe utakaye waka mata hao wahuni!! watakukomesha hivi; wanakupa vya kwako peke yako km adhabu na unavipeleke kwa familia yako kabisaa unaona hivi watoto wako na mkeo wanataabika!!! halafu unarudi kuwaomba dawa na msamaha tena juu!!

je nani atadhubutu kufanya hivyo? au unadhani mamlaka za huko kwao hazijui? hao hao ndo wamewapa kuongoza hizo mamlaka tena lao ni moja kabisaaa!! sasa jifanyishe uwageuke uone muziki wake!!!

Hizo ndo sirikali za kibabe na akili mingi halafu wao na familia zao wanapeta tu kirorho safiiiii! , hawaugui!!! hawachanjwi, hawaguswi hata unywele!! msio na akili, Mambululaa! ndo km hivi! mtachezewa weeeee! mpaka mtie akili!!

Suala ni kupiga magoti tu muwaombe! na mjipendekeze sana jamani chonde!! chonde!! punguzeni.hapa..
hata uwe na vinu vya nuclear vipi!! tena za kutosha mbele ya virus vya kimya kimya!! utakufa vibaya heee!! na hizo Nuclea weapons zako za kibabe zitabaki nzimaaa. zitabakia mazalia ya panya tu! covid havionekani vile!

Sasa vinakuja special ajili ya watu weusi tu!! make vya sasa mko wabishi kidogo na kashfa nyingi!! kirusi kinachokuja kinaua mpaka na sisimizi, majani achilia mbali mifugo. halafu watawaaacha kiwapige bure bila dawa km miaka miwili hivi mfe vizuri,

sasa hapo mleta mada hamjatia akili tu? na gwajima weenu muongo huyo!, hajui hata simple mechanism ya Maabara? na usisahau jiwe wenu huyo!!

kwanza mtakufa na mambo mawili

moja; na virus then

cha pili njaa!!! sababu hamtazalisha! mtakufa mnajiona hivi! wenzenu wana mahela! sijui mtamlilia yesu wenu wa vatican yule! nae atawageuka tu! hatawasikiliza kwa sababu ni mzungu mwenzao yule!

kudadaaadeki na Rais wenu anawaponza! anabwabwaja sana, Mabeberu hawajafurahia hizo kauli mbuzi zake!! kwa mtizamo wa Jiwe na waafrica wenzake! eti wao weupe wafe na nyie nyani mnapeta??! subirini tu mtaipata fresh!

Mwezi wa saba siyo mbali!! si hamtaki kufanyiwa majaribio? wanakuja wana hasira na nyie hao! heee! makaburi myachimbe kabisaaa makaburi yenu!! Jiwe anawaponza wanatamani waanze nae! tena watamletea kile chenyewe hasa!

Hivi tunavo bwabwaja hapa wanatuona vizuri sana labda waogope kelele zetu!! ndo itakuwa pona pona yake! wao km kawaida wanaanziaga mbaaali, km kina shana, Rose mary nyerere walivo vuta, lkn lengo ni jiwe!
Pole sana, haya mapovu yako juu ya rais wetu nakuambia yatakufika mwenyewe,keep calm utaona

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Lengo kubwa la kutengeneza ugonjwa huu ilikua ni
1. Kuzuia maandamano yalio kuwa yameshika hatamu saaana chini China, maandamano ayo yalilenga kujitenga kwa baadhi ya miji na kua na sarikari yao.

2. Kuuza daawa ya kuutibu ugonjwa uo na kuingiza kiasi kikubwa cha pesa( mradi endelevu).
 
Hakuna tunacho jua. mjusi alisema mpaka maesabu yetu yako very wrong
 
Wachina ndiyo waliotengeneza hiki kirusi sasa wanaruka eti haikuanzia kwao na wakati huo huo Wataalamu 9 kama sikosei kutoka WHO wako Wuhan lakini sehemu nyingi wanakataliwa kuingia hata hiyo Lab iliyohusika kutengeneza huyo mdudu. Cha kushangaza pia wamesubiri zaidi ya mwaka ndiyo wamewaruhusu hao wataalamu na hata hivyo hawawezi kufanya uchunguzi wowote ule. Wachina ni wauaji na inabidi wailipe kila nchi duniani pesa nyingi sana kama faini yao, at least $10 billions or even more.
#wearenotforsell

Kama ingekua hivyo Wajerumani, Wagiriki, wareno, Waingireza walitakiwa kutoa fidia for the so called makoloni yao...

Itoshe tu kukiri kwamba Mwenye Ulimwengu wake alikua anayajua haya hata kabla ya kumuumba mwanaadam...

Na ni kwa sala na dua pekee tunaweza kuwa salama.
 
Ni ugonjwa wa mlipuko tu kama magonjwa mengine Hakuna aliyetengeneza
 
Yaani mdudu wa kuwashambulia waandamanaji wa Hong Kong aliwaponyoka jamaa basi imekua tabu kwa Dunia.Walikua wakimwage Hong Kong then mipaka yake yote ifungwe ili wasieneze Dunia nyingine. Isitoshe COVID-19 was a biological weapon ila hawakuatarajia kua kitaondoa maisha ya wanadamu kivile.
Unajua kwanini USA na Italy kimeshambulia sana na kuenea sana..kumbukumbu zipo sawa .Wakati wa maandamano pale Hong Kong Italy na USA zilikua nchi za kwanza kutoa msimamo wake kwa kuwasupport waandamanaji mpaka wanaharakati kutoka Italy na USA wakishiriki ayo maandamano..je,unajua kilichowakuta .
Tusichoshane
 
Yaani mdudu wa kuwashambulia waandamanaji wa Hong Kong aliwaponyoka jamaa basi imekua tabu kwa Dunia.Walikua wakimwage Hong Kong then mipaka yake yote ifungwe ili wasieneze Dunia nyingine. Isitoshe COVID-19 was a biological weapon ila hawakuatarajia kua kitaondoa maisha ya wanadamu kivile.
Unajua kwanini USA na Italy kimeshambulia sana na kuenea sana..kumbukumbu zipo sawa .Wakati wa maandamano pale Hong Kong Italy na USA zilikua nchi za kwanza kutoa msimamo wake kwa kuwasupport waandamanaji mpaka wanaharakati kutoka Italy na USA wakishiriki ayo maandamano..je,unajua kilichowakuta .
Tusichoshane
Ni sheedaaaa. Na code language waliyoitumia inaangalia sana age na hali ya immune ya mtu aliyeambukizwa. Wengi wa watu wazima umri miaka 60 na kuendelea na wenye magonjwa inaleta changamoto kubwa. Umri wa chini ya miaka 40 kurudi nyuma hata kama ikiwatandika, wanateseka lakini angalau wengi hupona.
 
Ni sheedaaaa. Na code language waliyoitumia inaangalia sana age na hali ya immune ya mtu aliyeambukizwa. Wengi wa watu wazima umri miaka 60 na kuendelea na wenye magonjwa inaleta changamoto kubwa. Umri wa chini ya miaka 40 kurudi nyuma hata kama ikiwatandika, wanateseka lakini angalau wengi hupona.
Xi Ping anajua ili..na ni moja ya watu waliopigwa chanjo akiwa namba 3.
Ujiulizi kwanini Wuhan Lab alipandishwa daraja ndani ya muda mfupi bila ata kufuata protocol?
 
Ebu Leo tuambizane ukweli hapa!!

Hivi ni kweli kabisa Dunia imeshindwa kuwakamata waliotengeneza kirusi cha korona?

Mataifa makubwa wameshindwaje kung'amua mipango ya uaandaaji wa kirusi hiki hadi project ikakamilika?

Ukiangalia mtandaoni zipo video nyingi sana ikiwemo (Contagious) zilizotabiri ugonjwa huu unavyosambaa kwa njia ya hewa, je mataifa makubwa wameshindwaje kuwahoji hawa watu walioandaa hizo video?
Zipo kauli za matajiri akiwemo Billgates alinukuliwa kushabikia ugonjwa huu, je amewahi kuhojiwa kwa lolote?
Haya kirusi cha kwanza kimetoka kimya, cha pili kilichoboreshwa nacho kimekuja kwa kasi, kimyaaa!

Inamaana Dunia imeshindwa kabisa kujua hata ilipo maabara hii ya hawa waharamia?

Ulinzi wa Dunia uko wapi?

Hawa wahuni wanavyotupelekesha hivi wanalipwa na nani?

Kuna project nyingine Lukuki za hatari zipo maabara, je Dunia huwa haioni mapema mambo haya? Mfano project ya (IJUE KESHO YAKO LEO)! Ni project itakayoongeza machafuko kama ikikamilika!

Je; ni kweli hawa watu hawakamatiki kuinusuru Dunia?
umeongea kwa hisia sana na nipenda unataka tupate ukweli wa mambo akini we ndo utakuwa moja wapo wa hao hiyo project ya ijuwe kesho yako leo we unaitabiri na ikituletea madhara tuanze kukuchunguza ww
 
umeongea kwa hisia sana na nipenda unataka tupate ukweli wa mambo akini we ndo utakuwa moja wapo wa hao hiyo project ya ijuwe kesho yako leo we unaitabiri na ikituletea madhara tuanze kukuchunguza ww
Kwahiyo mtu abaekuonesha chini usijigonge na jiwe! Naye unamjumulisha kwenye hatari za jiwe lenyewe?
 
Kwani africa tupo kwenye juhudi zozote kuwatambua hao watu......sisi kila kitu tunaskiliza hao wajamaa wanasema nini then tubebe hicho hicho,
 
Back
Top Bottom