Uko sahihi mkuuYea, yani hujawahi pambana na shipping za Singapore wala Caniao miezi 3 [emoji3][emoji3], hujapigiwa simu posta, hujaona tracking inakwambia mzigo uko held na custom uende direct ku bargain na supplier Alibaba[emoji1] akomae Kwanza huko
Watumia mfumo gani kupokelea vitu???Fala wewe utakuwa ushakutana na ka she kangu[emoji23][emoji23] kana miaka 21. Tuna chat mpk private tushakuwa wana sana sometime ananitafutia vitu nje ya ofis kwa uaminifu ananitumia. Juzi kameninunulia piano na simu pesa kalipokea kwa western union nje ya mfumo kabisa nwa alibaba[emoji38] na kametuma kwa agent
Wakoje hawa???Unaweza tumia agent kama silent Ocean
Agents kwa alibaba, Dubai na Amazon na wengine wa hivyoWatumia mfumo gani kupokelea vitu???
Naomba connection ya dubaiAgents kwa alibaba, Dubai na Amazon na wengine wa hivyo
Posta kwa AliExpress
kuna guarantee, usipopokea ulichoangiza raise dispute utarudishiwa pesa yako. Next time jaribu ebay au amazon na avoid suppliers from ChinaWasi wasi wangu ni kwamba unaweza purchase kitu cha bei kubwa ikitokea longo longo unamfata nani maana kwa kuchat tu na mtu haitoshi
Inategemea unataka nn?Naomba connection ya dubai
VipodoziInategemea unataka nn?
Sina connection hio bro, wasiliana na Kilimanjaro shipping watakuunganishaVipodozi
Wale hawajibu text ukiwapigia wanajivuuta kama wamelazimishwaSina connection hio bro, wasiliana na Kilimanjaro shipping watakuunganisha
Nieleweshe vizuri kuhusu Silent Ocean na jinsi ya kuwapataHamna ofisi zao Dar ila unapokea kwa shipping agent. Mimi nilikuwa natumia Silent Ocean. Unasema mzigo utumwe Guangzhou kwa china kwenye address ya Silent Ocean. Mzigo ukiwafikia Silent watautuma Dar unaenda kuchukua pale kwenye Godown lao la karibu na Keko. Safety kwa Silent Ocean iko vizuri nimeshafanya biashara nao za 10s of millions. Changamoto ambayo ni kuhakikisha hukosei ni kuchagua supplier mzuri kwenye Alibaba.
Nieleweshe kuhusu hao agents kupitia AliExpressAsante kwa kuwa umeanzia kikuu. Njoo AliExpress then Alibaba.
Mimi bado nipo AliExpress.
Ila kwa uhakika na uharaka tumia private shipping kama ocean au unique air
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wadau wanapendaKuna watu kupitia huu uzi wameanza mizengwe yao ya kutafuta fursa, ooh nipe namba nikuelekeze kwa simu, ooh chukua hii namba nicheki whatsapp nikupe maelekezo....
Tupeane maelekezo HAPA iwe elimu kwa wengine pia, wote tukikimbilia whatsapp Jamii forum itabaki doro.
Ni mawakala wa kusafirisha mizigo kutoka China na kwingine kama Dubai. Wacheki instagram page Login • InstagramNieleweshe vizuri kuhusu Silent Ocean na jinsi ya kuwapata
Nasikia hawa jamaa wanachelewesha sana mizigo hili nalo ni tatizo miezi mpaka mitatu mzigo haujafikaSafety kwa Silent Ocean iko vizuri nimeshafanya biashara nao za 10s of millions.
Mkuu kua makini sana. Kuna jamaa yangu hivyo hivyo alihamishia mazungumzo private, na akawa anaagiza mizigo fresh inakuja mpaka akajenga uaminifu kabisa akawa anaagiza mizigo mikubwa fresh tu. Kumbe analiwa mingo, mara ya mwisho kaagiza mzigo wa 200m+ mtu kapotea hewani mazima. Jamaa kaenda mpaka China lakini wapi.Fala wewe utakuwa ushakutana na ka she kangu[emoji23][emoji23] kana miaka 21. Tuna chat mpk private tushakuwa wana sana sometime ananitafutia vitu nje ya ofis kwa uaminifu ananitumia. Juzi kameninunulia piano na simu pesa kalipokea kwa western union nje ya mfumo kabisa nwa alibaba[emoji38] na kametuma kwa agent
Hii si experience yangu. Nimepokea mzigo kama mara 8 hivi. Mzigo wa mwisho 2020 mwishoni kwa kuwa Jan tulianza kuzalisha vitu tz.Nasikia hawa jamaa wanachelewesha sana mizigo hili nalo ni tatizo miezi mpaka mitatu mzigo haujafika