Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Shukrani sana, nimewapataNi mawakala wa kusafirisha mizigo kutoka China na kwingine kama Dubai. Wacheki instagram page Login • Instagram
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana, nimewapataNi mawakala wa kusafirisha mizigo kutoka China na kwingine kama Dubai. Wacheki instagram page Login • Instagram
Msafara wa Mamba na Kenge hawakosekani[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wadau wanapenda
Kitonga dhaaaa
Sasa kwa sasa malalamiko ni mengiHii si experience yangu. Nimepokea mzigo kama mara 8 hivi. Mzigo wa mwisho 2020 mwishoni kwa kuwa Jan tulianza kuzalisha vitu tz.
Mkuu kua makini sana. Kuna jamaa yangu hivyo hivyo alihamishia mazungumzo private, na akawa anaagiza mizigo fresh inakuja mpaka akajenga uaminifu kabisa akawa anaagiza mizigo mikubwa fresh tu. Kumbe analiwa mingo, mara ya mwisho kaagiza mzigo wa 200m+ mtu kapotea hewani mazima. Jamaa kaenda mpaka China lakini wapi.
Huwa wanataka kuchat WhatsApp aisee Mimi naogopa kisa hicho tuAlibaba na Aliexpress ni waaminifu sana, huwa hawaachii hela kwa supplier mpaka wewe ukubali kwamba umepokea mzigo wako. Na usipopokea unafungua dispute ambapo baada ya siku 21 za kazi hela yako inarudi yote. Namna ya kupokea mzigo wako ni kupitia posta. Taadhari ukishalipia mzigo ukaona supplier hajafanya shipping ndani ya siku 7 anza kumbana, mawasiliano yote yafanyike kupitia platform ya ALIBABA usikubali mawasiliano kwa njia ya email.
Utaratibu huwaje hasaMizigo from alibaba uwa naichukulia posta
Alibaba hawa Ofisi Bongo. Period.Wadau naombeni nisiwe na mambo mengi naombeni kujua yeyote aliyewahi agizia mzigo Alibaba ulimfikia vipi na ofisi za agent zao hapa Dar zipo wapi?
Mimi nina experience na Kikuu nimeagiza sana na kupokea mizigo yangu mara ya mwisho nilinunua mzigo wa Million 1,200,000/= nilifanya maana ofisi zao nilienda pale Shoppers plaza msasani so nikawa confident kikitokea chochote ninao wa kukabana nao.
Natamani Alibaba wana vitu vingi na cheap zaidi ya Kikuu.
Fatilia mambo mzee... Haya mambo ya kupigizana kelele na mtu yameshapitwa na wakati.Wasi wasi wangu ni kwamba unaweza purchase kitu cha bei kubwa ikitokea longo longo unamfata nani maana kwa kuchat tu na mtu haitoshi
Nieleweshe vizuri kuhusu Silent Ocean na jinsi ya kuwapata
Niliwapata ila hawajibu message nikaachana nao,Watafute instagram utapata maelezo mazuri kuwahusu
Mkuu hapa ungedadavua kwa utuo ingependeza mkuu kama hutojariTafauti na alibaba hizi site nyengine hawana direct chat kama alibaba, mara nyingi unapatata fununu yupi seller/ manufacturer mzuri wakati wa kuchat ambapo unatoa duku duku zako zote.
Gold status unaifikia kwa vigezo gani na ni benefits zipi wanatoa baada ya kufikia hapo?Nimefikia Gold status, hii status ukiifikia unapata majibu haraka kwa suppliers na benefits nyengine na suppliers wengine wanakutafuta.
Niliwapata ila hawajibu message nikaachana nao,
Nawatumia Kikuu hawajawahi niangusha tatizo lao hawana bidhaa nyingi kama Aliexpress, basi nakerekaaaaa
Tumia aliexpress wana mazaga kibao bei chee nina mizigo yangu mitatu from Aliexpress naisubiri mmoja umeshafika bongo miwili badoNiliwapata ila hawajibu message nikaachana nao,
Nawatumia Kikuu hawajawahi niangusha tatizo lao hawana bidhaa nyingi kama Aliexpress, basi nakerekaaaaa
Mchawi ni hilo sanduku la Posta,Tumia aliexpress wana mazaga kibao bei chee nina mizigo yangu mitatu from Aliexpress naisubiri mmoja umeshafika bongo miwili bado
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Mi sina sanduku la posta na haina ulazima kuwa nalo ukiwa Kwenye profile yako utajaza shipping address ambayo ni jina lako, sehemu uliyopo utajaza nchi Tanzania,mkoa wako,zipcode pamoja na namba yako ya simu ili mzigo wako ukifika utapigiwa simu na posta(Mizigo inapelekwa posta ikifika bongo)Mchawi ni hilo sanduku la Posta,
Au wewe wapokelea vipi mizigo yako