Tozonia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 689
- 734
Karibu Fago Express+255765018958 WhatsApp call/textBalaa hilo mi natafuta kampuni itakayochaji kulingana na uzito wa mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Fago Express+255765018958 WhatsApp call/textBalaa hilo mi natafuta kampuni itakayochaji kulingana na uzito wa mzigo
Balaa hilo mi natafuta kampuni itakayochaji kulingana na uzito wa mzigo
Eh watu mnasiri kwahyo mnamademu wa kichina sisi hatujui dahFala wewe utakuwa ushakutana na ka she kangu[emoji23][emoji23] kana miaka 21. Tuna chat mpk private tushakuwa wana sana sometime ananitafutia vitu nje ya ofis kwa uaminifu ananitumia. Juzi kameninunulia piano na simu pesa kalipokea kwa western union nje ya mfumo kabisa nwa alibaba[emoji38] na kametuma kwa agent.
Ha ha ha mzee huyu demu saiz mpk tunapabga kutembeleana[emoji38][emoji38] ila ujue nimeijenga pia maana kuna muda namnunulia mazaga tu kule pinduo ma taobao naelekeza kwenye address yake anainjoyEh watu mnasiri kwahyo mnamademu wa kichina sisi hatujui dah
Duh kweli mpo serious mpka unahonga mchina alooo sio mchezoHa ha ha mzee huyu demu saiz mpk tunapabga kutembeleana[emoji38][emoji38] ila ujue nimeijenga pia maana kuna muda namnunulia mazaga tu kule pinduo ma taobao naelekeza kwenye address yake anainjoy
Great ningependa kukujulisha kuwa kwa sasa AliExpress hawatumii tena shipping agent. Kwasasa AliExpress wameiingia makubaliano na kampuni ya safirishaji iitwayo speedaf so mizigo yote yawateja inayonunuliwa toka AliExpress inasafirishwa na hii kampuni ya speedaf ofisi zao zipo Morocco pale. so wew nunua mzigo weka address yako mzigo wako ukifik dar unapigiwa unaletew had ulipoKuna watu kupitia huu uzi wameanza mizengwe yao ya kutafuta fursa, ooh nipe namba nikuelekeze kwa simu, ooh chukua hii namba nicheki whatsapp nikupe maelekezo....
Tupeane maelekezo HAPA iwe elimu kwa wengine pia, wote tukikimbilia whatsapp Jamii forum itabaki doro.