Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

Ni mizigo ya aina gani hiyo ya kuchukua mwezi? Je ni meli au ndege?
ni ndege naona kama wanachelewesha navumilia tuu ,nataka niongoze mzigo uje kwa meli ndo niliwafikiria shamwaa lakini umenikatisha tamaa kuhusu huduma zao
 
ni ndege naona kama wanachelewesha navumilia tuu ,nataka niongoze mzigo uje kwa meli ndo niliwafikiria shamwaa lakini umenikatisha tamaa kuhusu huduma zao
Sijakukatisha tamaa mkuu we jaribu tu ila kama huna uvumilivu usiwe unawapigia utafokewa na kula block mazima 😆
 
Mzigo huwa ni vitu tuu mchanganyiko naagiza ninachoona naweza kuuza hauzidi kg 50
Kama mzigo hauna betri au kimiminika hua unaondoka China ijumaa na bongo unafika jpili jtatu unapokea
 
Nna swali hivi alibaba ukiwa unanunua in bulky kuleta Tz ni lazima utumie hawa ma agents? Kwamba wholesaler hawezi akakutumia mzigo moja kwa moja?

pia naomba kujuzwa fees za hawa ma agents wanaotutumia Tz kwa anayefahamu... and mwisho ningependa kufahamu utaratibu wa Kodi siku hizi za tozo kwa wafanyabiashara wadogo
cc Mwl.RCT

Natanguliza shukrani.
 
utaratibu wa Kodi siku hizi za tozo kwa wafanyabiashara wadogo
Linapokuja swala la Tozo, haki sawa hutendeka, bila kujali kama ni mfanyabiashara mdogo au mkubwa, kanuni ya kukokotoa kodi ni mmoja tu.

Pia Kinacholeta kiasi cha tozo /kodi ni
-Invoice value ya bidhaa husika
-Kundi la bidhaa husika { kuna baadhi ya bidhaaa zina kodi pungufua au kutokuwa na kodi kabisa bali unalipia VAT pekee]
-HS code ndio hutoa taarifa kamili.
 
kujuzwa fees za hawa ma agents wanaotutumia Tz
Kila agent ana kiwango cha gharama zake katika kukufanyia clearance
Minimum ni 60,000 na maximum huanzia 250,000 na kuendelea { Haa hutegemea a/aina ya mzigo/ukubwa wa mzigo b/Njia ya usafirishaji iliyotumika na itakayotumika kuhandle mzigo wako c/service za ziada ambazo agent atakufanyia kwa makubaliano
- Hivyo hakikisha unampa agents wako details za kutosha za mzigo wako ili akupe service fees zake kabla ya kumkabidhi kazi.
==
Kwenye hayo makadirio ya gharama nimelenga clearing agents, baada ya mzigo kuwa tayari umefika
- Kumbuka agents wako kwenye makundi mawili kimajukumu a] usafirishaji b] Ku_claer mzigo baada ya kuwa uko nchini.
-Kuna agents ambao hufanya kazi zote mbilia A na B. Na kuna ambao hufanya kazi za upande mmoja A pekee au B pekee
 
Kwamba wholesaler hawezi akakutumia mzigo moja kwa moja?
Anaweza kukutumia direct bila shida, swala ni mawasilaiano na makubaliano kwanza kwenye hizo gharama za ziada ukiacha gharama ya bidhaa husika.
-
 
Anaweza kukutumia direct bila shida, swala ni mawasilaiano na makubaliano kwanza kwenye hizo gharama za ziada ukiacha gharama ya bidhaa husika.
-
Na akintumia direct kama ni parcel ndogo naweza ichukua posta moja kwa moja kama ali-express? au itahusisha clearing agent
 
Na akintumia direct kama ni parcel ndogo naweza ichukua posta moja kwa moja kama ali-express?
Mahala utachukulia mzigo hutegemea
- Njia ya usafirishaji itakayotumika.
Kuna baadhi ya njia za usafirishaji, Ndio mzigo utachukulia posta.
Soma mzaidi hapa | Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase)
- Na kwanjia zingine za usafirishaji mzigo unaufuata kwenye ofisi za kamuni iliyohusika kukusafirishia au kampuni husika itakupigia simu ili wakuletee mahala ulipo.
 
Waliniletea kwenye my designated address
Bro naomba unisaidie kuielewa hiyo nakuomba nahitaji tumia alibaba but nikipata mtu anaeilewa kam wew nitafanikiwa nakuomb unisaidie naomba mawasiliano yako au nakuomba nisadie mawasiliano yangu ni 0626517799 au 0785870804
 
Mnieleweshe na mie, nataka kuagiza Ali Express,
Sina Sanduku la Posta kwa maana hiyo siwezi kupokea mzigo hadi niwe nalo? Pia njia ya malipo inanitatiza kwa Visa Card inakataa.

Natanguliza shukrani.
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona thread Yako.

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili ss tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958
 
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona thread yako

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili ss tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958
 
Hamna ofisi zao Dar ila unapokea kwa shipping agent. Mimi nilikuwa natumia Silent Ocean. Unasema mzigo utumwe Guangzhou kwa china kwenye address ya Silent Ocean. Mzigo ukiwafikia Silent watautuma Dar unaenda kuchukua pale kwenye Godown lao la karibu na Keko. Safety kwa Silent Ocean iko vizuri nimeshafanya biashara nao za 10s of millions. Changamoto ambayo ni kuhakikisha hukosei ni kuchagua supplier mzuri kwenye Alibaba.
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baadai yakuona thread Yako.

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili ss tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief +255765018958
 
Back
Top Bottom