Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

Mchawi ni hilo sanduku la Posta,
Au wewe wapokelea vipi mizigo yako
Fungua sanduku la Posta haizidi elf 45 tu,details za silent ocean China hizo hapo. Utampatia supplier wa alibaba ili apeleke Mzigo.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-06-11-05-07-23.png
    Screenshot_2022-06-11-05-07-23.png
    57.2 KB · Views: 52
  • Screenshot_2022-06-11-05-06-24.png
    Screenshot_2022-06-11-05-06-24.png
    47.3 KB · Views: 52
Wadau naombeni nisiwe na mambo mengi naombeni kujua yeyote aliyewahi agizia mzigo Alibaba ulimfikia vipi na ofisi za agent zao hapa Dar zipo wapi?

Mimi nina experience na Kikuu nimeagiza sana na kupokea mizigo yangu mara ya mwisho nilinunua mzigo wa Million 1,200,000/= nilifanya maana ofisi zao nilienda pale Shoppers plaza msasani so nikawa confident kikitokea chochote ninao wa kukabana nao.

Natamani Alibaba wana vitu vingi na cheap zaidi ya Kikuu.
Mkuu kuagiza mzigo si lazima kuwe na agent. Watu wanaagiza Amazon, Ebay, Alibaba, Aliexpress n.k. na wanapata mizigo. Mizigo inasafirishwa kwa njia mbalimbali zisizohitaji ofisi ya kampuni husika. Kunaweza kukawa na changamoto za hapa na pale za kusafirisha mizigo mikubwa, lakini kama waagiza mizigo mikubwa waweza watafuta Silent Ocean na GNM.
 
Mkuu nakushauri ufungue ofisi pahala endapo una exprience ya kutosha WEWE uwe guarantor kwa wateja kama "processing unit and guarantor of eBay, aliexpress and alibaba Tz Ltd, tuchaji dollar $5 tu wala ukiweza tamaa
 
Mi sina sanduku la posta na haina ulazima kuwa nalo ukiwa Kwenye profile yako utajaza shipping address ambayo ni jina lako, sehemu uliyopo utajaza nchi Tanzania,mkoa wako,zipcode pamoja na namba yako ya simu ili mzigo wako ukifika utapigiwa simu na posta(Mizigo inapelekwa posta ikifika bongo)

Hiyo picha hapo chini ni address yangu

View attachment 2256731

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Umenifungua akili, shukrani sanaaa,
eenh, Zipcode ni nini??
Naishi Dsm
 
Tumia aliexpress wana mazaga kibao bei chee nina mizigo yangu mitatu from Aliexpress naisubiri mmoja umeshafika bongo miwili bado

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Naomba na Mimi nisaidiwe kuhusu mambo kadhaa, kwanza kutaka kufahamu ukishaagiza mzigo allexpress huwa wanaleta gharama zote za usafiri na bidhaa au zile gharama ni za bidhaa peke yake? ikiwa hakuna usafiri gharama ya usafiri utaijuaje?
pili ukiwa unataka bidhaa zaidi ya moja na ukataka kufanya bargaining na muuzaji utampataje pale kwenye website yao?
 
Naomba na Mimi nisaidiwe kuhusu mambo kadhaa, kwanza kutaka kufahamu ukishaagiza mzigo allexpress huwa wanaleta gharama zote za usafiri na bidhaa au zile gharama ni za bidhaa peke yake? ikiwa hakuna usafiri gharama ya usafiri utaijuaje?
pili ukiwa unataka bidhaa zaidi ya moja na ukataka kufanya bargaining na muuzaji utampataje pale kwenye website yao?
Jibu la swali lako la kwanza ni kwamba huwa wanaweka bidhaa na bei yake halafu kwa chini wanaweka gharama za usafiri kutokana na address uliyojaza kama ni free shipping basi hawatoweka hela bali utaona wameandika free shipping na Kwenye kulipia wataorodhesha gharama ya bidhaa na usafiri mfano saa ya mkononi inauzwa 10,000/= na usafiri 3000/=

Kwahyo utalipia jumla 13000/=


Na swali la pili Kwa Aliexpress ndio unaweza ukachat na supplier

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Niliwapata ila hawajibu message nikaachana nao,

Nawatumia Kikuu hawajawahi niangusha tatizo lao hawana bidhaa nyingi kama Aliexpress, basi nakerekaaaaa
Wagumu sana kujibu msg , kama mzigo sio mkubwa tumia aircargo kama Bashley, unique. Kama mzigo mkubwa tumia silent ocean au shamwaa , unachotakiwa ni kuwa text WhatsApp na kuomba adress yao china ambayo utampatia supplier wako atume mzigo wako kwenye hiyo adress mzigo ukifika bongo unapigiwa simu ufate. Bashley air cargo na silent ocean wana mfumo wa kutrack mzigo.. shamwaa ukiwatembelea ofisini kwao kama hauna supplier Wanakutafutia.
 
Jibu la swali lako la kwanza ni kwamba huwa wanaweka bidhaa na bei yake halafu kwa chini wanaweka gharama za usafiri kutokana na address uliyojaza kama ni free shipping basi hawatoweka hela bali utaona wameandika free shipping na Kwenye kulipia wataorodhesha gharama ya bidhaa na usafiri mfano saa ya mkononi inauzwa 10,000/= na usafiri 3000/=

Kwahyo utalipia jumla 13000/=


Na swali la pili Kwa Aliexpress ndio unaweza ukachat na supplier

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Ahsante sana mkuu vip Kodi yake bidhaa ikishafika huku? ukokotoaji wake upoje
 
Mini ninanunua bidhaa alibaba na aliexpress kuleta UAE
Wako wengine kama wish.com, Mama.com, Dhgate, wish na mama ni retail lakini wana matatizo kwenye shipping, wakati mwengine hupati mzigo lakini wako haraka kurudisha fedha kama hukupata mzigo. DHgate zaidi wako kwenye wholesale na service zao ni bora zaidi.
Tafauti na alibaba hizi site nyengine hawana direct chat kama alibaba, mara nyingi unapatata fununu yupi seller/ manufacturer mzuri wakati wa kuchat ambapo unatoa duku duku zako zote.

Usafiri kutoka china to AmUAE unachukua 7-14 days kwa ndege na kwa bahari ni 21-30days.
Mimi natumia agent ambaye ana office china na uae
Ni vizuri kuwa na shipping agent ambaye yuko china kwa sababu akipokea mzigo tu, una hakika utaupata mzigo wako na anaweza kukusaidia kwa inspection kabla ya shipping.

Naweza kusema kwa miaka mitano ninanunuwa mzigo alibaba sijawahi kupata matatizo yeyote.
Nimefikia Gold status, hii status ukiifikia unapata majibu haraka kwa suppliers na benefits nyengine na suppliers wengine wanakutafuta.
Vipi kuhusu bei ya usafiri na ushuru ni asilimia ngai
 
Vipi mizigo inawahi kufika ?, mimi huwa natumia Bashley aircargo mizigo inachukua mwezi mzima kufika
Ni mizigo ya aina gani hiyo ya kuchukua mwezi? Je ni meli au ndege?
 
Back
Top Bottom