Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

Aliyewahi kuagiza Alibaba au anajua office zao zilipo kwa Dar

ni ndege naona kama wanachelewesha navumilia tuu ,nataka niongoze mzigo uje kwa meli ndo niliwafikiria shamwaa lakini umenikatisha tamaa kuhusu huduma zao
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baadai yakuona thread Yako. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili ss tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.
 
Nna swali hivi alibaba ukiwa unanunua in bulky kuleta Tz ni lazima utumie hawa ma agents? Kwamba wholesaler hawezi akakutumia mzigo moja kwa moja?

pia naomba kujuzwa fees za hawa ma agents wanaotutumia Tz kwa anayefahamu... and mwisho ningependa kufahamu utaratibu wa Kodi siku hizi za tozo kwa wafanyabiashara wadogo
cc Mwl.RCT

Natanguliza shukrani.
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baadai yakuona thread Yako. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili ss tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.
 
Tafadhali naomba mawsiliano yako nakuomb tafadhali au kama utapend naomba ufanye kama msaada kwangu nakuomba namba yangu whats app ni 0626517799
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baadai yakuona thread Yako. Mizigo yako inafika ndani ya siku 3-5

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar Kwa gharama nafuu

Unaeza agiza nasi hatakama huna pesa kamili ss tukanunua Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958

Tuko kariakoo Msimbazi B karibu na kituo cha polisi.
 
Nilitaka kuagiza chainsaw lakini wanataka mpaka ziwe kuanzia tano wakati mm nataka kwa matumizi yangu binafsi
 
Nilitaka kuagiza chainsaw lakini wanataka mpaka ziwe kuanzia tano wakati mm nataka kwa matumizi yangu binafsi
Njoo nikuagizie moja ofisini kwangu, japo mimi huwa naagiza spea za magari. . .

Be ready kusubiri mwezi na nusu meli kufika.
 
Nilitaka kuagiza chainsaw lakini wanataka mpaka ziwe kuanzia tano wakati mm nataka kwa matumizi yangu binafsi
Karibu FAGO EXPRESS tunakuagizia ndani ya siku 3-5 umeipata tupo kariakoo krb na kituo cha polisi msimbazi B Whatsapp+255765018958
 
Sawa. HK ni bidhaa. Aina gani?
Vipi Kama mzigo haujazidi kilo au unezidi kilo moja na haujafika kg 2?
HK ni bidhaa za (kimiminika) eg perfume, toothpastes products and such, hizi bei yake ni constant kwamaana ya sensitivity wake haipandi haishuki na pia haijalishia kama ni kilo 1 au 2 au chini ya hapo itachajiwa same price ya $13.5
 
Elekeza tu kwa faida ya wote.
Kwa mzigo Kama nguo na hazijazidi kg moja au una 1.3 kg
HK ni bidhaa za (kimiminika) eg perfume, toothpastes products and such, hizi bei yake ni constant kwamaana ya sensitivity wake haipandi haishuki na pia haijalishia kama ni kilo 1 au 2 au chini ya hapo itachajiwa same price ya $13.5
 
Alibaba ni mtandao safe Sana Kwa biashara , scams ni wachache! Jamaa wapo proffessional alaf wachina Wana Sana, ni kama bongo tuu..mnacheka mnafurah, mnataniana alaf wachangamfu sana. Unakuta demu ana miaka 20 na ni marketing manager wa kiwanda, full kutabasamu yaani.
Unaweza niunganisha nahuyo dem anaetabasam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom