Aliyewahi kuwa Beki wa Simba SC, Abdi Banda kumuoa dada yake Ali Kiba

Aliyewahi kuwa Beki wa Simba SC, Abdi Banda kumuoa dada yake Ali Kiba

Nani wa simiyu? Yaani ungekua sio mwanamke leo ungenisababishia ban!!.. mi
Born town kitambo unaniita wa simiyu? Mi msukuma mimi? Dharau gani hizi!! Mi msukuma? Dah
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ni Abdi Banda anatarajia kufunga ndoa na dada ake Kiba, Zabibu baadae mwaka huu, hii ni baada ya kaka yake kufunga ndoa. Pongezi kwake Abdi Banda
==
Abdi Banda kwa sasa anachezea timu moja huko South Africa,ila aliwahi kuichezea simba sc

images-1-jpg.753027
hii familia inafanana vichwa na sura zao kama wanapembe hivi utajua tu hawa watoto wa mzee kiba
 
Ngoja nami nitangaze nia kwa staa 1 tu tittle itakuwa kubwa
 
Wewe ndiye uliyelia baada ya kukutana na paipu ya ujazo wa dona na maharage mpaka ukarudisha mpunga unadai nafsi ilikusuta kumsaliti bwana ako sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wa JF mna nini!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee umenichekesha sana

Huku unapunguza stress mama

Sema kweli alileta uzi wa kutudanganya aliogopa kumsaliti bebe wake

Kumbe ukweli ni kukutana na mkuyenge wa kiwango cha lami mpaka dada wa watu akaomba poo mixer kurudisha vichenchi....
 
Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
jamani kumbe napedwa iv njoo bc kichuya ndio mm
 
Kila la kheri Zabibu! ila we mtamu kweli kama zabibu??!
 
Ni Abdi Banda anatarajia kufunga ndoa na dada ake Kiba, Zabibu baadae mwaka huu, hii ni baada ya kaka yake kufunga ndoa. Pongezi kwake Abdi Banda
==
Abdi Banda kwa sasa anachezea timu moja huko South Africa,ila aliwahi kuichezea simba sc

images-1-jpg.753027

Kwahiyo unataka kusema kwamba Kiba ' anabanduliwa ' Dadaake na Binyo / Banda Mkuu?
 
Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Niko hapa mama karibu piem, afu baada ya mechi na watani tutaenda sauziafirika.
 
Back
Top Bottom