Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]jamani kumbe napedwa iv njoo bc kichuya ndio mm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]jamani kumbe napedwa iv njoo bc kichuya ndio mm
huyo dada make up zinambeba kinoma mara ya kumuona tv nilipagawa ile kumuona live nilichoka wana vichwa pembe hata abdu kiba kidogo ali kiba haoneshi mbaka acheke pembe zinadisa kinomambona kiba ni mzuri kuliko dadaake
Mtoto asipofanana na Mzee wasira,mimi simo.Jamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Matege au nini zaidi?Ni macho yangu mabaya or mmeona na nyieView attachment 757585
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwehu wa leoHAWA KIBA ALI NDIO ALIKUWA ANAWAZIBIA RIZIKI, KAOA ALI, KAFATA ABDU NA SASA DADA ANAENDA KUWEKWA NDANI APIGWE PEKU KIHALLALI
NdiooMatege au nini zaidi?
tupia nyingine akiwa full peke ake, of course tupia rear view!
Humu ndani kuna vituko, nimecheka hadi nimepaliwa, msamehe bibi yetu kwa babu AsprinNani wa simiyu? Yaani ungekua sio mwanamke leo ungenisababishia ban!!.. mi
Born town kitambo unaniita wa simiyu? Mi msukuma mimi? Dharau gani hizi!! Mi msukuma? Dah
Hongera zakeNi Abdi Banda anatarajia kufunga ndoa na dada ake Kiba, Zabibu baadae mwaka huu, hii ni baada ya kaka yake kufunga ndoa. Pongezi kwake Abdi Banda
==
Abdi Banda kwa sasa anachezea timu moja huko South Africa,ila aliwahi kuichezea simba sc
![]()
Ha ha ha...Nani wa simiyu? Yaani ungekua sio mwanamke leo ungenisababishia ban!!.. mi
Born town kitambo unaniita wa simiyu? Mi msukuma mimi? Dharau gani hizi!! Mi msukuma? Dah
nenda page yake insta kamchaneJamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
[emoji23] [emoji23]HAWA KIBA ALI NDIO ALIKUWA ANAWAZIBIA RIZIKI, KAOA ALI, KAFATA ABDU NA SASA DADA ANAENDA KUWEKWA NDANI APIGWE PEKU KIHALLALI
Mkuu nipe no yke kma unayo mtoto ananifaa kwa matumizidah ila dada yule wa king kwa ile michezo ya mombasa kariakoo wanatambua ubora wake, I hope banda naye ni mdau maan na yeye si beki anacheza nyuma?
Migulu banja hiyoNi macho yangu mabaya or mmeona na nyieView attachment 757585
Naona yuko mitaa ya kwetu pazuri kwenye gheto la familia mzima
Mkuu mi nimecheka usiku huu lakini daah humu kuna watu jamaniHumu ndani kuna vituko, nimecheka hadi nimepaliwa, msamehe bibi yetu kwa babu Asprin
Nimimi mdogo ake nichek PM nikupe namba zakeJamani,na Mimi natangaza kumpenda kaka mmoja anaitwa kichuya,huyu mkaka nampenda mpaka basi,hata nikikutana naye naweza kumtongoza,nampenda mpaka naumwa,kichuya popote ulipo ujue nakupendaaa
Duh nomamwanamke sura kama man iyo moja kwa moja inakuwa ndoa ya jinsia 1
amekuona unaakili za jiwe nini shwaini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Nani wa simiyu? Yaani ungekua sio mwanamke leo ungenisababishia ban!!.. mi
Born town kitambo unaniita wa simiyu? Mi msukuma mimi? Dharau gani hizi!! Mi msukuma? Dah