Ahsante kwa kunikumbusha mkuu corona ipo na inauaaaaa. Au nipige zangu 😷😷😷😷Hahah daah usisahau tu kumuweka doggy kipindi hiki cha corona.View attachment 1431686
Unajua wakati wanaleta ubishi usio na maana, kwa taarifa nilizo nazo hata mdogo wake yupo kwenye hali mbaya (anaumwa), na hata watu wa karibu na Burji wanasema ni coronavirus!Kazikwa na "watu wachache" leo asubuhi pale makaburi ya Kisutu
labda changamoto yetu ileSubiria uone mazishi yake yatakavyokuwa, utapata majibu yako
Ya upumuaji sio, ambapo ukifa unazikwa na watu 10. Tuendelee kujifukiza.labda changamoto yetu ile
Chanzo mbona kipo wazi mkuu? "Atazikwa na watu wachache kwa ushirikiano na serikali". Nadhani mpaka hapo utakuwa umeelewa mkuu.
Unajua wakati wanaleta ubishi usio na maana, kwa taarifa nilizo nazo hata mdogo wake yupo kwenye hali mbaya (anaumwa), na hata watu wa karibu na Burji wanasema ni coronavirus!