johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Are you serious sir?!Duh jamaa kashazikwa tayari na serikali pale Kisutu. Mambo ni haste haste Victoire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you serious sir?!Duh jamaa kashazikwa tayari na serikali pale Kisutu. Mambo ni haste haste Victoire
Mapema sana. Wala hutosikia tena habari zakeAre you serious sir?!
Wanasema "eti" kazikwa kisutu na serikali!Kwa nini?
Waambie waseme vizuri, labda waseme serikali nzima ilikuwepo maziko yake. Mziki mnene ule.Wanasema "eti" kazikwa kisutu na serikali!
G. Sam sema vizuri mazishi yalihudhuriwa na idadi kama ile ya Mbita?Waambie waseme vizuri, labda waseme serikali nzima ilikuwepo maziko yake. Mziki mnene ule.
Wee bibi acha ubishi. Mzee kazikwa pale Kisutu leo saa tatu asubuhi na "watu wachache"Waambie waseme vizuri, labda waseme serikali nzima ilikuwepo maziko yake. Mziki mnene ule.
Kazikwa na "watu wachache" leo asubuhi pale makaburi ya KisutuG. Sam sema vizuri mazishi yalihudhuriwa na idadi kama ile ya Mbita?
Acheni ubishi nyinyi,wawekwe karantini hao aliokuwa nao na contact tracing ili kuzuia maambukizi zaidi.Kwa nini?
Bara siyo Zanzibar bwashee!Acheni ubishi nyinyi,wawekwe karantini hao aliokuwa nao na contact tracing ili kuzuia maambukizi zaidi.
Kanashida kubwa sn yani ni kakukapuuza tuKaajuza kahovyo kweli ni kahamiaji kanajidai kana milki na Tanzania. Swain kabisa huyu.
Well SaidKama ni hivyo basi hiyo ni akili ya ziyada. Maana wewe umebaki kulalamika lakini unashindwa kuchukuwa hatua yoyote, au hujuwi kuwa Tanzania watu wanapiga kura kuchagua mtu na siyo chama? Kwanini usimipigie kura ambae unataka awe kiongozi wako?
"Wadosi" wanawapigia wanaoona watawafaa kwa maslahi yao. Sasa wewe unapiga kura kwa maslahi ya nani? Fikiri.
Hivyo ni utaratibu wa siku hizi kuzikwa na watu wachache. Wanaokufa na Convid 19 wao huzikwa na serikali makaburi ya Mloganzila na Kondo (Mbweni) kwa hiyo kuna utofautiUmeshaambiwa atazikwa na watu wachache.