Kuchora mawe/majabali: Chalinze - Mwanza; Chalinze - Arusha, Chalinze -Songwe: 'Mwiguli Rais wa Tanzania 2015' ni zaidi ya uhovyo. Mtu aliyediriki kuchafua majabali kwa rangi nchi nzima wewe unamwona wa kawaida?Mwigulu hajawahi kuvaa nguo za scout.
Mwigulu ni Mtanzania na alikuwa akifunga scarf ya bendera ya Tanzania na hajaacha kufanya hivyo.
uhovyo wake nini?