TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah(Burji) afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah(Burji) afariki dunia

Sio mdosi.kwao wana asili ya uarabu.namjua vizuri huyu mbunge alikuwa babaangu mdogo wa hiari.kanisaidia vitu vingi sanaa.nakumbuka aliniambia mwaka huu anataka kurudi kugombea ubunge tena. So sad nipo mbali na taarifa nimezipatia humu jf.apumzike mahali pema peponi mzee.
Mdosi au? Maana CCM ndio zao na wadosi , wanaotafuta maficho ya maovu yao kibiashara. Al in all RIP
 
Mara ya kwanza waliweka amevaa vazi la ccm,Moderate amebadilisha na kuweka ya scout baada ya watu kuchukia marangi ya kijani
Usiseme watu wanachukia rangi hakuna mtu anae chukia rangi sema misukule ya ufipa haina ufahamu haipendi rangi ya chama tawala imezoea ile rangi ya kakhi Kama za wagambo zile za Sacco's ya DJ makengeza [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Mdosi au? Maana CCM ndio zao na wadosi , wanaotafuta maficho ya maovu yao kibiashara. Al in all RIP
Duh Sasa unaleta ubaguzi sababu ya rangi hii ndio sera mpya ya ufipa au maana mlianza na ukabila mkaja na ukanda mwisho mtaleta udini zambi ya ubaguzi mbaya sana
 
Bora ni ccm......Ok atazikwa na watu wangapi?
 
Duh Sasa unaleta ubaguzi sababu ya rangi hii ndio sera mpya ya ufipa au maana mlianza na ukabila mkaja na ukanda mwisho mtaleta udini zambi ya ubaguzi mbaya sana
Ndilo tatizo la nyinyi uchwara wa CCM. Siyo ishu ya ukabila. Wadosi wote wako CCM kulinda biashara zao, siyo kuwa wanaipenda CCM!

Huo ndo ukweli ! Hata matajiri waafrika wenzetu wengi wako CCM kulinda biashara zao, ingawa Jiwe kidogo kwa mbali ametikisa akina Rugemalila walokuwa CCM damu....
 
bagamoyo,
Poleni wafiwa,tuzuie mikusanyiko jamani, hapo inabidi wote wakae karantini na contact tracing ya familia yao wote wakae karantini kuepeuka kusambaa zaidi.
 
Huyo ni Kamanda wa scout Tanzania, unawajuwa scouts ni nani?
Hayo ni mavazi rasmi ya scout Tanzania. Na hizo rangi za scarf ana badge aliyovaa ni rangi unazoziona kwenye bendera ya Tanzania. Kama huipendi bendera ya Tanzania hama nchi.
Nchi ndio ihame mimi siwezi kuhama kamwe
 
Ndilo tatizo la nyinyi uchwara wa CCM. Siyo ishu ya ukabila. Wadosi wote wako CCM kulinda biashara zao, siyo kuwa wanaipenda CCM! Huo ndo ukweli ! Hata matajiri waafrika wenzetu wengi wako CCM kulinda biashara zao, ingawa Jiwe kidogo kwa mbali ametikisa akina Rugemalila walokuwa CCM damu....
Nakushauri tu acha ubaguzi wa aina yeyote rangi ukabila dini mwenye ufahamu anajua ulikomment kwa Nia gani tuendelee na jukwaa
 
Ndilo tatizo la nyinyi uchwara wa CCM. Siyo ishu ya ukabila. Wadosi wote wako CCM kulinda biashara zao, siyo kuwa wanaipenda CCM! Huo ndo ukweli ! Hata matajiri waafrika wenzetu wengi wako CCM kulinda biashara zao, ingawa Jiwe kidogo kwa mbali ametikisa akina Rugemalila walokuwa CCM damu....
Ikiwa hivyo naona wana akili sana ya kulinda biashara zao kama wanaona wakiwa CCM biashara zao zitafanyika kwa usalama na amani.

Tatizo nini hapo?
 
Back
Top Bottom