The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Rip gentleman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdosi au? Maana CCM ndio zao na wadosi , wanaotafuta maficho ya maovu yao kibiashara. Al in all RIPView attachment 1430550
Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mafia kati ya mwaka 2005 hadi 2010 na amefariki dunia jioni ya leo Aprili 25, 2020 katika Hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar.
Akiwa mbunge, Shah alipata kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii na pia alikuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi ya Bunge.
umeelewa maana , hata ukakwepa ! Nasikia Chato ni total lockdown, polisi wamemwagwa kushinikiza watu wakae ndani! UtabishaKwa hiyo siku ni lazima uende Kuwait kujikarantini?
Karantini ya nini mkuu!! Anafukizwa tu mambo yanakuwa poooooa.Kwa Wale Wagumu wa kuelewa, hili ni swali na sio msimamo wala nini? Tarehe 16/04/2020 pichani PM akiwa na Marehemu, je wakawekwe karantini??
View attachment 1430617
Nipo biharamulo, naomba mazishi yake myaweke mitandaoni kama mama wa mlima wa moto ili nijiongeze mwenyeweSubiria uone mazishi yake yatakavyokuwa, utapata majibu yako
Soma kwa makini ulichoandika, halafu tukio la lisu ni 2017 huyu alikuwa mbunge 2005-2010Site huyu ali dhambi ndege iliyo mpaka Lissu Nairobi daaa RIP
Kama ndiye muongee na mazuri yake
Jamaa kazikwa asubuhi hii pale Kisutu na serikali huku ndugu wachache wakishuhudia.Muda utatwambia kama mama rwakatare wameficha lakini ikawa sio siri tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma imeshaisha na jamaa watakuwa wanamalizia malizia shughuli pale KisutuNipo biharamulo, naomba mazishi yake myaweke mitandaoni kama mama wa mlima wa moto ili nijiongeze mwenyewe
Tatizo hizi nguo za heshima kuna wakati ziliachwa bila control zikawa zinavaliwa na watu wa hovyo hovyo kama Mwigulu.....sasa ikitokea akavaa mtu wa heshima kama huyu marehemu watu wanadisgrade.Huyo ni Kamanda wa scout Tanzania, unawajuwa scouts ni nani?
Hayo ni mavazi rasmi ya scout Tanzania. Na hizo rangi za scarf ana badge aliyovaa ni rangi unazoziona kwenye bendera ya Tanzania. Kama huipendi bendera ya Tanzania hama nchi.
Si ndio wewe ulisema Rwakatare kazikwa na excavatorDuh jamaa kashazikwa tayari na serikali pale Kisutu. Mambo ni haste haste Victoire
Kwani kaburi linachimbwa na kitu gani? Au wewe excavator kwako ni jambo la aibu?
Ubaguzi haujawahi kumuacha mtu salama.Mdosi au? Maana CCM ndio zao na wadosi , wanaotafuta maficho ya maovu yao kibiashara. Al in all RIP
Mwigulu hajawahi kuvaa nguo za scout.Tatizo hizi nguo za heshima kuna wakati ziliachwa bila control zikawa zinavaliwa na watu wa hovyo hovyo kama Mwigulu.....sasa ikitokea akavaa mtu wa heshima kama huyu marehemu watu wanadisgrade.