TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah(Burji) afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah(Burji) afariki dunia

Huyo ni Kamanda wa scout Tanzania, unawajuwa scouts ni nani?
Hayo ni mavazi rasmi ya scout Tanzania. Na hizo rangi za scarf ana badge aliyovaa ni rangi unazoziona kwenye bendera ya Tanzania. Kama huipendi bendera ya Tanzania hama nchi.
Mara ya kwanza waliweka amevaa vazi la ccm,Moderate amebadilisha na kuweka ya scout baada ya watu kuchukia marangi ya kijani
 
18 Sep 2014
Mbunge wa Mafia Ndugu Abdulkarim Shah akizungumzia maendeleo ya ujenzi wa tuta la Banja wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Tuta hilo litaunganisha vijiji vya Banja na Jojo

RIP aliyekuwa mbunge wa Mafia Abdulkarim Shah.


Source : Adam Mzee
 
View attachment 1430550

Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mafia kati ya mwaka 2005 hadi 2010 na amefariki dunia jioni ya leo Aprili 25, 2020 katika Hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar.

Akiwa mbunge, Shah alipata kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii na pia alikuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi ya Bunge.
RIP

Jr[emoji769]
 
Inamaana Magufuli angekuwepo tu Dar najua angejichanganya kupokea ile hundi. Dah kuwa Chattle ana maana kubwa. Na kwa jinsi haya yanavyoendelea kutokea ndo kutaendelea kumfanya avute vute muda kurejea mjini.

Confusion here, confusion there.. Huku koonaaaa kule tititititittiti basi ni vurugu mechi kila sehemu!
 
Mara ya kwanza waliweka amevaa vazi la ccm,Moderate amebadilisha na kuweka ya scout baada ya watu kuchukia marangi ya kijani
Hizi??
 

Attachments

  • IMG-20200425-WA0132.jpg
    IMG-20200425-WA0132.jpg
    48.1 KB · Views: 1
  • IMG-20200425-WA0131.jpg
    IMG-20200425-WA0131.jpg
    31.1 KB · Views: 1
Inamaana Magufuli angekuwepo tu Dar najua angejichanganya kupokea ile hundi. Dah kuwa Chattle ana maana kubwa. Na kwa jinsi haya yanavyoendelea kutokea ndo kutaendelea kumfanya avute vute muda kurejea mjini.

Confusion here, confusion there.. Huku koonaaaa kule tititititittiti basi ni vurugu mechi kila sehemu!

Ingetegemea ,sababu mambo ya majanga ya aina yoyote yanaratibiwa au yapo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu
 
Back
Top Bottom