TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah(Burji) afariki dunia


R.i.p abdulkarim
 
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
 
OMG!! RIP my Old Friend, and my former MP...
 
Sasa hivi vifo vingi vinahusishwa na COVID. Kuna wengi sana sasa wameamua kujiuguza home huku wakifuata ushauri wa Rais wa "kujifukiza". Wanaozidiwa zaidi wanaishia kufa na sisi kama kawaida tunasema ni" mipango ya Mungu/Allah". Transmission zinaendelea kwa wanafamilia, majirani na ndugu wa karibu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…