Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RiPMeja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu.
Asante mkuu kawaida tuPole kwa wafiwa
Nani mlaji wa hizo mali?Mzee kaacha Mali za kutosha ama hakika Mali za Dunia hii sio kitu.
Sitiresi za ustaafu ...Meja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu.
August 02, 2024 Mbuge aliagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 na aliagwa kwa kukagua gwaride rasmi la kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU) Jijini Dar es salaam.
Soma:
1. Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini
2. Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo
3. Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?
Aliowaacha ( ndugu,watoto na jamaa)Nani mlaji wa hizo mali?
mfano ni zipi?Mzee kaacha Mali za kutosha ama hakika Mali za Dunia hii sio kitu.
UWe huna kitu kwa levo aliyokuwa nayo? Kwa umri wake sidhani kama vitu ni vipaumbele.Sitiresi za ustaafu ...
Unakuta hakuwa na kitu kashazoea vya bure jeshini
😳🙄 !Ufunuo 14:13 “Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao”.
Matendo yao yatafuatana nao........tutafakari matendo yetu duniani! wATAWALA TAFAKARI MATENDO YENU
RIP MBUGE
View attachment 3122569
Mkuu jeshini kuna vyeo ukifika hata ukistaafu, unaendelea kuhudumiwa bure mpaka unakufa, kuanzia kanali nafikiri kwahiyo hiyo haikuwa sababuSitiresi za ustaafu ...
Unakuta hakuwa na kitu kashazoea vya bure jeshini