wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
HayaMkuu jeshini kuna vyeo ukifika hata ukistaafu, unaendelea kuhudumiwa bure mpaka unakufa, kuanzia kanali nafikiri kwahiyo hiyo haikuwa sababu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaMkuu jeshini kuna vyeo ukifika hata ukistaafu, unaendelea kuhudumiwa bure mpaka unakufa, kuanzia kanali nafikiri kwahiyo hiyo haikuwa sababu
Kuna siri gani watumishi wengi wakistaafu tu uwa hawakai sana wanakufa.Meja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu.
August 02, 2024 Mbuge aliagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 na aliagwa kwa kukagua gwaride rasmi la kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU) Jijini Dar es salaam.
Soma:
1. Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini
2. Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo
3. Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?
Huyu mzee alikua mgonjwa sana, basi tu, Sukari ilikua inampelekesaha sana, alikuwa anaweza kuwa anatoa hotuba mnashangaa anakimbizwa ndani gafla kuchoma sindanoSitiresi za ustaafu ...
Unakuta hakuwa na kitu kashazoea vya bure jeshini
Ndio, wanaweza, fuatiliaMadam natak nikuulize , ivi kuwa CDF si ni mpaka uwe na cheo cha nyuma yake yani luten general?,
Iv major general
Brigedia general
Wanaweza kuwa CDF?
Ni bilionea??Mzee kaacha Mali za kutosha ama hakika Mali za Dunia hii sio kitu.
🤣🤣 kwan lazima, ila m400 -800 hawakosi.Ni bilionea??
Mtu yoyote akiwa na cheo Cha meja jenerali anaweza kuwa CFD, huyu aliepo Sasa alikua ni meja jenerali na hakuwahi kuwa luten jeneraliMadam natak nikuulize , ivi kuwa CDF si ni mpaka uwe na cheo cha nyuma yake yani luten general?,
Iv major general
Brigedia general
Wanaweza kuwa CDF?
Si unapandishwa cheo kabla ya kuteuliwa kama maandaliziMadam natak nikuulize , ivi kuwa CDF si ni mpaka uwe na cheo cha nyuma yake yani luten general?,
Iv major general
Brigedia general
Wanaweza kuwa CDF?
Sawa iv tuna ma luten general wengi au ni mmoja?Mtu yoyote akiwa na cheo Cha meja jenerali anaweza kuwa CFD, huyu aliepo Sasa alikua ni meja jenerali na hakuwahi kuwa luten jenerali
Poleni sana, Magufuli alimkubali sana, alimpandisha vyeo kabla ya mudaMeja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu, kifo cha Mbuge kimethibitishwa na Mtoto wake wakati akiongea na @AyoTV_.
Itakumbukwa August 02, 2024 Mbuge aliagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 na aliagwa kwa kukagua gwaride rasmi la kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU) Jijini Dar es salaam.
Mbuge amepitia katika nafasi mbalimbali za Uongozi ikiwemo kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa Kagera na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu.View attachment 3122553