Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lo ,masikini kaka yangu Abbas Kandoro.Imethibitishwa Abass Kandoro hatunaye tena. Source inasema alikuwa ICU kwa muda mrefu sana.
Kandoro amewahi kuwa katika nafasi ya ukuu wa Mkoa katika zaidi ya Mikoa Sita Tanzania Bara ikiwemo Dar es salaam, Arusha, Singida na Mbeya.
![]()
Wapi tulikuwa naye?Taarifa zilizopatikana ni kwamba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Mzee Abbas Kandoro hatunae tena!
Apumzike kwa Amani.
Tulikua naye humu duniani.Wapi tulikuwa naye?
Kandoro amewahi kuwa katika nafasi ya ukuu wa Mkoa katika zaidi ya Mikoa Sita Tanzania Bara ikiwemo Dar es salaam, Arusha, Singida na Mbeya.