Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
MakohaNa yule rasi aliyesemaga " si ni bora mtunyonge " anaitwaga nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MakohaNa yule rasi aliyesemaga " si ni bora mtunyonge " anaitwaga nani?
Babe , yule Mzee akili iliruka baada ya stress ,alikuwa analia amedhurumiwa na kbc, badaye alifarikiApumzike kwa amani
Hivi mzee Ojwang bado yupo?
P didy is back. 😄MKUU FWATILIA CONT ZA RAMBIRAMBI TUNATUMA WAPI MWAMBA NILIMPENDA SANA VIOJA VYAKE DAH
RIP G
Masikini yule mzeeBabe , yule Mzee akili iliruka baada ya stress ,alikuwa analia amedhurumiwa na kbc, badaye alifariki
Ndugai?Na yule rasi aliyesemaga " si ni bora mtunyonge " anaitwaga nani?
Ndio ,hawakuwa na bahati, hata Rais Moi aliwapa viwanja ila wakadhulumiwa na wasaidizi wakeMasikini yule mzee
Nimeangalia hapa ni kweli amefariki tangu 2015
UpoonmpwaaP didy is back. 😄
Bado marehemu mtarajiwaaaaaMakoha
Nipokabisampwahabarizamasiku?Upoonmpwaa
Kweli Ondieki Nyukakwata wanafanana sana na Lisu. Alikua ananifurahisha sana pale mahakamani muda wote ananifanya ni pedeshee, suti kali muda wote. Muda wote anasema ndio nimeshuka na ndege ya asubuhi, jioni naenda London, mara nina kikao na Obama keshokutwa nk misifa kama yote.wale watu wanajua bana[emoji28][emoji28]
kuna yule kibonge(ondieki)kila nikimuona lissu akiongea namkumbuka huyu jamaa,wanafanana sura,miili,kimo mpaka namna ya uongeaji[emoji23][emoji23][emoji23]
kuna sehem marehem aliulizwa na olexander josephat-wewe umewahi kukatangwa kichwa yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787].na ile lafudhi ya kimasai unawezacheka upaliwe.
RIP mwendesha mashtaka bora kabisa.
Ndio alifariki 2015 na alipewa heshima kubwa sana karibu za kitaifa.Masikini yule mzee
Nimeangalia hapa ni kweli amefariki tangu 2015
Kumejaa labda tumpeleke kwa UpendoWalitupa burudani sana. Apumzike kwa Amani
P didy is back. 😄