TANZIA Aliyewahi kuwa mwendesha mashtaka mkuu wa kipindi cha Vioja Mahakamani Afariki Dunia

Such a good man, rest in peace prosecutor
 
Aloooh!! Hiki ndicho kipindi pekee kilichokuwa kikinichekesha.
Apumzike kwa amani, hakika kazi ya kutuburidisha waliifanya vyema.
 

Apumzike kwa amani! Asilimia kubwa ya Wakenya ni wachekeshaji.
 
Hawaonnaibu hata wasubri tuzike jaman
Pole sana kwa wafiwa.
Naona hawa wenzake bado wanatoa burudani ya vichekesho kupitia kipindi chao cha Hulabaloo Estate
 
Hadi ma pastor kanisan..yaan ukuje na stress zako uende pio eere spiritual cntr ukarudi nayo wee ukufee tu..
past akiingiaa kwa church lazina mcheke ajaanza kufundisha nasemaaaaaaaaaaaaa muaacheee ukoraaaaaaaaa aminayarabi naona wazinzi wamekaa kimya nakuja na kwenu muaaacheeeee.........kanisa kmyaa muaaache...wawili wanaitikia uZINZIIIIIIIII .(siowewe)

.YAAN WAZINZI KANISANI WASIPOCHEKA HAPO HAWAACHI UZINZI HADI WAMBEYA LAZIMA WACHEKE
#SIOMCHEKESHAJI NAONGELEA WAKEII PLS...

Apumzike kwa amani! Asilimia kubwa ya Wakenya ni wachekeshaji.
 
Hajaachaaa hata urithi mpedwa fwatiliq na hilii kuna nduguzake humu
 
Apumzike kwa Amani, mie pia nilikuwa mfuatiliaji mzuri sana wa kipindi chao.
 
Apumzike kwa amani,nilipenda sana kipindi chao,walifanya kazi nzuri ya kutufurahisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…