TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika serikali ya awamu ya tatu, Iddi Mohamed Simba afariki dunia

Nakumbuka sana

Iddy Simba alikuwa Mwamba kweli kweli

Mwingine aliekalia kiti moto alikuwa Daniel Yona


Siku hizi hatuna Wanasiasa wenye uwezo wa Sampuli ile
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe yule dada mwenye kizungu chake alikuwa mtoto wa huyu? R.I.P mzee Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…