Aliyezusha kuwa Samaki wa Ziwa Victoria wanahifadhiwa kwa maji ya Maiti akamatwe ashtakiwe, ni mchochezi

Aliyezusha kuwa Samaki wa Ziwa Victoria wanahifadhiwa kwa maji ya Maiti akamatwe ashtakiwe, ni mchochezi

Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.
Uelewa wako mdogo,
Syo maji ya kuoshea maiti bali dawa ya kuhifadhia maiti.
Tofautisha hilo
 
Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.
Unataka nani achukue sheria? Wewe mahakamani hupajui? Si uende wewe ukamshtaki?
 
Duuh.

Unachokifanya hapa utakamatwa wewe.
 
Wavuvi wengi ni washirikina. Maji ya kuoshea maiti yanayumika hata kwenye madini. Wachimba madini huoga maji ya kuoshea maiti ili kupata madini mengi. Makamu wa raisi hakuropoka, kachupa kadogo ka maji ya kuoshea maiti kanauzwa mpaka shilingi laki NNE. Hao wengine wanaficha aibu tu.
Tunataka tujue uhusiano wa hayo maji na kusababisha kansa.
 
Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.
Unaweza Kumgusa Zabayanga Wewe?
 
Sayansi ya wapi hiyo mzee!?
Scientifically hakuna ushuhuda wowote ( evidence) kuwa maji ya kuoshea maiti au dawa za kuhifadhi maiti ( Fomaline-(Formaldehyde) ) kuwa zina significant R/ship with Cancer diseases... utafiti bado unatakiwa kufanyika "why kanda ya ziwa kuna wagonjwa wengi wa Saratani....
My hypothesis:
1.uvuvi haramu kwa kutumia sumu
2. Low basin ( mercury &;Cynide kutoka kwenye migodi kutiririka ktk ziwa victoria kutokana na mifumo taka mibovu ndani ya mogodi)
 
Afya za watu sio kitu cha kuchezea, kama ni kweli watafiti wamegundua mabaki ya chemikali za kuhifadhia maiti ktk samaki, hatua kali zichukuliwe kwa wafanyabiashara wa samaki wanaofanya mchezo huo.
 
Hili ni jambo ambalo linahusu afya za wananchi na pia uchumi wa nchi.
Lahitaji kupewa umuhimu wa kipekee na uchunguzi ufanyike tupate ukweli.
Hata hivyo, ni lazima tuwe makini, tusipate tena report zinazoweza kupata majina kama "professorial rubbish"
 
Scientifically hakuna ushuhuda wowote ( evidence) kuwa maji ya kuoshea maiti au dawa za kuhifadhi maiti ( Fomaline-(Formaldehyde) ) kuwa zina significant R/ship with Cancer diseases... utafiti bado unatakiwa kufanyika "why kanda ya ziwa kuna wagonjwa wengi wa Saratani....
My hypothesis:
1.uvuvi haramu kwa kutumia sumu
2. Low basin ( mercury &;Cynide kutoka kwenye migodi kutiririka ktk ziwa victoria kutokana na mifumo taka mibovu ndani ya mogodi)
Kuna prof. Mmoha SUA alikua anafanya utafiti kwenye hii ussue. Sijui kama amesha publish report yake. Nikiiona ntaileta hapa.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Scientifically hakuna ushuhuda wowote ( evidence) kuwa maji ya kuoshea maiti au dawa za kuhifadhi maiti ( Fomaline-(Formaldehyde) ) kuwa zina significant R/ship with Cancer diseases... utafiti bado unatakiwa kufanyika "why kanda ya ziwa kuna wagonjwa wengi wa Saratani....
My hypothesis:
1.uvuvi haramu kwa kutumia sumu
2. Low basin ( mercury &;Cynide kutoka kwenye migodi kutiririka ktk ziwa victoria kutokana na mifumo taka mibovu ndani ya mogodi)
Hiii ilikuwa mwaka 2017 watu wanahoji....
Screenshot_20220916-180918.jpg
Screenshot_20220916-181004.jpg
 
Maji ya kuoshea maiti (by composition) yanatofauti gani na maji yanayotokea bafuni?. .......tatizo ni "maiti" si ndiyo?
Alimaanisha ile dawa formalin wanayowekewa maiti ili isiharike mapema...
 
Samaki wa mwanza sitakaa nile tena, hawafai kwa afya ya binadamu!! Ni sawa na kula sumu!! Watu wajifunze kulinda afya za wengine!! Its horrible!!
Wa Bukoba au Musoma utawala? Wote wanatoka ziwa Victoria.
 
Kweli waTanzania Bado tumelala! Badala ya kuomba kupata uhakiki wa jambo Hilo au kufuatilia Kwa undani wanakohifadhia hao samaki! Mnamkamata na kuitwa mchochezi! Je wakija wakafa watu Nani alaumiwe??
My friend kuna wakati huwa nakubaliana na Trump kwamba we are shit hole [emoji874] countries... Imagine umepewa tip na second in command, ambaye kwa nafasi yake ana access na Intel information nyingi tuu Sasa badala ya kuifanyia uchunguzi wa kina, hata ikibidi kuunda tume ili kujua ukweli watu wanapinga, tena kwa kejeli na kashfa...
 
Back
Top Bottom