Aliyoyasema Abdul Nondo akiwa kwenye mkutano wa Baraza La Vijana la CHADEMA (BAVICHA)

Kama Kikwete alipogombea uchaguzi wa 2005 alikuwa anaitwa kijana akiwa na 54yrs, huyu Nondo huko ccm kwa umri huo si atachukuliwa kama ananyonya?
That's not a scholarly answer. It's like that from CCM about Kikwete! Ahahahahaha!!
 

Gen Z wanaanza kuamka. Nimemsikia wa Cuf naye anaongea hivyo hivyo. Sasa hawa vijana wakiacha kuwasikiliza Wazee hasa wa kizazi chetu tuliochakachuliwa JKT watalikomboa taifa toka kwa Mkoloni mweusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…