Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafahamiana na wachezaji wengi wanaocheza ligi kuu. Alichokisema kiemba ni kweli.Kiemba asipuuzwe hata kidg anachokisema inawezekana tatizo ni kubwa kuliko hata tunavyofikiri pia aliwahi kusema kuhusu timu ya taifa kwamba ukiitwa timu ya taifa usipotoa Asilimia fulani ya posho utakazopata huko hautakaa uitwe tena tena pesa hizo zinapokelewa pale TFF hiyo ni kuanzia kocha mpaka wachezaji.
unamaanisha nnKiemba nikimsikiza huwa Nahisi ana akili flani hivi ambayo ni nadra kwenye tasnia ya uchambuzi wa soka la bongo
Julio nlimwona Kigogo kaenda kusaoimia maskan kwao na BMW kali, nkajiuliza ule ujanja ujanja wake nkiunganisha na hii mada...kuna kaukwel hivi!Hili lipo,ule msimu simba inapandisha juniors kina ndemla,mkude and co. Yule julio aliwapiga sana hela ila kunadogo wa familia ya pazi ndy alimgomea live coz dogo anajua faza zake wanajuana na julio so hakuogopa
bro hii ni dunia nzima Luc eymael wa yanga,mwinyi zahera ni kama ma agents kabisa wa wachezaji...amunike kule misri kuna dereva teksi aliwasanua viongozi wa tff kamsikia mwarabu mmisri agent wa amunike akiongea kiarabu kwenye simu na mtu wana discuss taifa stars ifungwe magoli ya kutosha kuhsu mambo ya kamariHiyo Tabia alikuwa nayo Sana Jamhuri Kihwelu "Julio"...
Huyu amerostisha Sana wachezaji wa tanzania. Pale Simba alipiga Sana mapanga wachezaji. Alivyoenda Mwadui kawapiga Sana panga wachezaji. Kama kweli TFF inania ya kuinua soka ishirikiane na vyombo vya dola kuwakamata na kuwafunga makocha Aina ya Julio na viongozi Aina ya Julio. Wamejaa tele wengine tunashindwa kuwaanika hadharani. Ila huyo Julio nimemuanika maana ni moja ya wanaohusudu Sana huo upumbavu.
Na kweli aisee amexhomoa betriHuyu mwamba nlijua tu siku moja atakuja kuchomoa betri!
Acha upumbavu wewe. Unaongea usilolijua.bro hii ni dunia nzima Luc eymael wa yanga,mwinyi zahera ni kama ma agents kabisa wa wachezaji...amunike kule misri kuna dereva teksi aliwasanua viongozi wa tff kamsikia mwarabu mmisri agent wa amunike akiongea kiarabu kwenye simu na mtu wana discuss taifa stars ifungwe magoli ya kutosha kuhsu mambo ya kamari
Usiku ni Sports Xtra.Mbona Jana sa 3 usku, clouds FM skumskia Lwambano wala kiemba??
Samahani ilikua ni mchana sports roundup. The content remain the sameUsiku ni Sports Xtra.
Jana ni Sports Roundup na kinafanyika saa 7-8 mchana siku ya Jumapili.
Mleta uzi anaongelea Sports Roundup