Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,269
Kuna Dogo langu alikuwa sehemu ya kikosi kuipandisha timu ligi kuu last year...walivyopanda na mkataba wake ulikua umeisha katika kuurenenew Dogo aliambiwa mshahara utakuwa pasu kwa pasu na kocha yaani 50% na 50% kwa kocha yupo mtaani anagonga ndondo na analisha mke na mtoto wake mmoja ..Dogo ana 22 years umri wa mpira