Aliyoyasema Amri Kiemba ni madai mazito na hatari kwa soka letu, yachunguzwe

Aliyoyasema Amri Kiemba ni madai mazito na hatari kwa soka letu, yachunguzwe

Ndio Siri hiyo nimekupa na Kama wanapita humu wathubutu kubisha tumwage mboga.

Mpira wa bongo Ni magumashi wachezaji wananyonywa sana. Kuna Mambo nikiandika huwezi kuamini Kama yanafanywa na wadau maarufu unaowajua.
mpira wa bongo unaendeshwa na taasisi iliyojaa wahuni, bila hawa wahuni kutolewa kwa kungo' a mizizi na securities walizojiwekea, soka la bongo kuendelea ni ndoto.
 
Kiemba nikimsikiza huwa Nahisi ana akili flani hivi ambayo ni nadra kwenye tasnia ya uchambuzi wa soka la bongo
Chief..I concur na wewe..hapa kachomoa betri ,inabidi players wa zamani waje wanajielewawaje wakate wakate mpaka nyaya..kila tasnia sio footballl,hata boxing,athletics etc etchadi Olympic committee kuna uozo mwingi sana..
 
TAKUKURU mpo? Au hadi mkulu atoe kauli? Cha kushangaza hao wachezaji nao wamepiga kimya mda mrefu...hii nchi hii tupoje sisi? Anzisheni chama cha kuwatetea au FIFA inakataza!
 
Hata wakiacha lipite final touches zinakuwaga kwenye timu ya taifa nmeanza kuimiss ile kauli ya jiwe wachezaji wawe wanajeshi yani wao ni mpira akilala akiamka tena Waite watu kama wanavyoita mafunzo ya jkt ila wawe wachezaji tuu na ufanyike mchojo mkali tupate hata vikosi vitano tuachane na mambo ya usimba na uyanga yani ni bora mtoto akotee huko kwenye academy za jeshi akacheze ulaya huko
 
Back
Top Bottom