Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,269
Kama Papaa Zahera kwa Makambo?😀😀😀Point hapo NI saido ntibazonkiza na Cedric kaze.
KAZE NI DALALI
Huu ni uhalifu kwenye mpira lazima vitendo hivi vipigwe vita. Hatua ya kwanza ni kwa wadau wote wa soka ikiwemo mashabiki wapaze sauti. Hii itasaidia wenye michongo hiyo kuona aibu na kuacha maramojaKuna Dogo langu alikuwa sehemu ya kikosi kuipandisha timu ligi kuu last year...walivyopanda na mkataba wake ulikua umeisha katika kuurenenew Dogo aliambiwa mshahara utakuwa pasu kwa pasu na kocha yaani 50% na 50% kwa kocha yupo mtaani anagonga ndondo na analisha mke na mtoto wake mmoja ..Dogo ana 22 years umri wa mpira
bro una hasira kwelikweli,umekula lakini au ni njaakalihatari?Acha upumbavu wewe. Unaongea usilolijua.
Huwezi kujustify uhuni kwa uhuni. Kinachofanywa ni uhuni serikali lazima iingilie kati. Hiyo mifano yako ni irrelevant.
Hatuwezi kuacha kukemea wizi mtaani kwetu kwasababu mtaa wa jirani Kuna wezi wengine huo ni upumbavu.
Wachezaji wetu wanaishi maisha ya kuunga unga kwa upumbavu. Halafu hapa hatuzungumzii agents wa mpira maana hao wako dunia nzima hapa tunazumgumzia wahuni wanaonyonya wachezaji.
Mtu anakwambia ili nikusajili inabidi kwenye mshahara wake asilimia flani itakuwa ya kwangu. Na ili niwe nakupanga inabidi asilimia flani iwe yangu. Huo ndio U-agent ?
Mtu wa kwanza ni Jamhuri Kihwelu Julio.Huu ni uhalifu kwenye mpira lazima vitendo hivi vipigwe vita. Hatua ya kwanza ni kwa wadau wote wa soka ikiwemo mashabiki wapaze sauti. Hii itasaidia wenye michongo hiyo kuona aibu na kuacha maramoja
Angalia jina lako na langu nani hajala?bro una hasira kwelikweli,umekula lakini au ni njaakalihatari?
Mikia fc mmekamatwa pabaya na mnafeli wapi?Point hapo NI saido ntibazonkiza na Cedric kaze.
KAZE NI DALALI
Mkuu fafanua. Unamaanisha nini?Afadhali hilo kuna makocha wanawala wachezaji.
What!!!? Huyo mchezaji atakayeliwa na kocha kwa sababu au kisingizio chochote kile basi huyo ni mzowefu wa mambo hayo na hiyo ndio tabia yakeAfadhali hilo kuna makocha wanawala wachezaji.
Kirusi kikuu cha huu uhuni ni TFF, just imagine timu za mikoani zinapambana kutafuta vyanzo vya kulipa mishahara wachezaji, alafu TFF wanakula zawad yao tena wanatoa sababu za kipuuzi eti kuna wachezaji wa kigeni walikuwa wanadaiwa signing fee, mara imebaki million 1! Kwenye mpira wa miguu tuna viongozi wabinafsi, wahuni, wala rushwa, nadhan Magufuli aanzie TFF kama anataka timu bora ya Taifa.Acha upumbavu wewe. Unaongea usilolijua.
Huwezi kujustify uhuni kwa uhuni. Kinachofanywa ni uhuni serikali lazima iingilie kati. Hiyo mifano yako ni irrelevant.
Hatuwezi kuacha kukemea wizi mtaani kwetu kwasababu mtaa wa jirani Kuna wezi wengine huo ni upumbavu.
Wachezaji wetu wanaishi maisha ya kuunga unga kwa upumbavu. Halafu hapa hatuzungumzii agents wa mpira maana hao wako dunia nzima hapa tunazumgumzia wahuni wanaonyonya wachezaji.
Mtu anakwambia ili nikusajili inabidi kwenye mshahara wake asilimia flani itakuwa ya kwangu. Na ili niwe nakupanga inabidi asilimia flani iwe yangu. Huo ndio U-agent ?
kidau na karia ni janjajanja na haihitaji uwe profesa kuwajua kuwa hawa ni wasanii, wahuni nk.Kirusi kikuu cha huu uhuni ni TFF, just imagine timu za mikoani zinapambana kutafuta vyanzo vya kulipa mishahara wachezaji, alafu TFF wanakula zawad yao tena wanatoa sababu za kipuuzi eti kuna wachezaji wa kigeni walikuwa wanadaiwa signing fee, mara imebaki million 1! Kwenye mpira wa miguu tuna viongozi wabinafsi, wahuni, wala rushwa, nadhan Magufuli aanzie TFF kama anataka timu bora ya Taifa.
Hao TFF wajinga sana. Timu za vijana Hakuna mtoto anaweza kuitwa bila kuhonga.Kirusi kikuu cha huu uhuni ni TFF, just imagine timu za mikoani zinapambana kutafuta vyanzo vya kulipa mishahara wachezaji, alafu TFF wanakula zawad yao tena wanatoa sababu za kipuuzi eti kuna wachezaji wa kigeni walikuwa wanadaiwa signing fee, mara imebaki million 1! Kwenye mpira wa miguu tuna viongozi wabinafsi, wahuni, wala rushwa, nadhan Magufuli aanzie TFF kama anataka timu bora ya Taifa.
Sasa nimepata jibu kwanini soka letu halipigi hatua! Utashangaa kuona kwenye mechi za mchangani za vijana kuna vipaji vya hali ya juu sana lakini ukija kwenye timu za taifa za vijana huoni hivyo vipaji!Hao TFF wajinga sana. Timu za vijana Hakuna mtoto anaweza kuitwa bila kuhonga.
Nina mdogo wangu anachezea Timu ya vijana katika moja ya timu zibazoshiriki VPL, nilikutana na makocha wa timu ya taifa wakanichana live niwahonge ili aitwe under 17 National team. Tff ni uozo mtupu. Watu wanaitwa sio kwa vipaji vyao ila kuhonga.
Ndio Siri hiyo nimekupa na Kama wanapita humu wathubutu kubisha tumwage mboga.Sasa nimepata jibu kwanini soka letu halipigi hatua! Utashangaa kuona kwenye mechi za mchangani za vijana kuna vipaji vya hali ya juu sana lakini ukija kwenye timu za taifa za vijana huoni hivyo vipaji!