mpira wa bongo unaendeshwa na taasisi iliyojaa wahuni, bila hawa wahuni kutolewa kwa kungo' a mizizi na securities walizojiwekea, soka la bongo kuendelea ni ndoto.Ndio Siri hiyo nimekupa na Kama wanapita humu wathubutu kubisha tumwage mboga.
Mpira wa bongo Ni magumashi wachezaji wananyonywa sana. Kuna Mambo nikiandika huwezi kuamini Kama yanafanywa na wadau maarufu unaowajua.
Kaka wengi hasa team za vijanaWhat!!!? Huyo mchezaji atakayeliwa na kocha kwa sababu au kisingizio chochote kile basi huyo ni mzowefu wa mambo hayo na hiyo ndio tabia yake
Chief..I concur na wewe..hapa kachomoa betri ,inabidi players wa zamani waje wanajielewawaje wakate wakate mpaka nyaya..kila tasnia sio footballl,hata boxing,athletics etc etchadi Olympic committee kuna uozo mwingi sana..Kiemba nikimsikiza huwa Nahisi ana akili flani hivi ambayo ni nadra kwenye tasnia ya uchambuzi wa soka la bongo