Aliyoyasema Kenyatta juu ya Ruto tayari yanafukuta

Aliyoyasema Kenyatta juu ya Ruto tayari yanafukuta

Mtu yeyeto anaejifichia kwenye dini chunga Sana mtu hio ni chui

Aliagiza choir tokea Tanzania kumwimbia. Madogo yana nafuu:

Fcnol92XkAESa4V.jpg
 
Unategemea nini mtu aliyelelewa na dictator kuwa malaika

Anasema kuwa kawa rais ni uthibitisho tosha kuwa Mungu yuko mbinguni. Sera zile zile za shujaa wetu malaika kiongozi 😂😂.
 
Back
Top Bottom