Hapana Mkuu. Jamaa kakosea. Hizi chuki dhidi ya Ruto siyo nzuri. Mtu ni juz tu kaula. Haya anatakiwa aandike baada ya siku mia baada ya tasmin. Kumbuka uhuru kaondoka Hazina hamna kitu. Kaka yangu brazaj apunguze hasira.Kuhabarisha kuna shida gani? You need to know the world around you! hajakosea kwa lolote
Ruto the fifth