Aliyoyasema Kenyatta juu ya Ruto tayari yanafukuta

Aliyoyasema Kenyatta juu ya Ruto tayari yanafukuta

Kuhabarisha kuna shida gani? You need to know the world around you! hajakosea kwa lolote
Hapana Mkuu. Jamaa kakosea. Hizi chuki dhidi ya Ruto siyo nzuri. Mtu ni juz tu kaula. Haya anatakiwa aandike baada ya siku mia baada ya tasmin. Kumbuka uhuru kaondoka Hazina hamna kitu. Kaka yangu brazaj apunguze hasira.

Ruto the fifth
 
Alisema Uhuru, huyu anayejiita Hustler na apewe kama miezi mitatu tu, mambo atayakoroga.

View attachment 2357480

Huyu bwana aliahidi mbingu huko Kenya lakini tayari kwa mwendo huu kumekucha:

1. Ruto anaondoa ruzuku kwenye mafuta ya magari.

"Petrol, Diesel na mafuta ya taa kupaa hadi juu ya 200 Ksh @ lita."

Zingatia 1 Ksh ni takribani 20 Tsh.

View attachment 2357481

2. Ya pesa za watu benki ki mwendazake mwendazake nayo yanawanyemelea:

Uhuru era traders face billions in tax demand after KRA expose'

Na bado!

Ni suala la muda tu.
Ulimakafu
 
Ha ha ha! Jameni tumuombee rais wetu atuongoze vizuri, tusimseme sana hata kabla hajaonyeshwa sebule ya ikulu au chumba chake cha kulala.
Udikteta hawezi akaufanya maana tuna katiba nzuri sana inayotuongoza, ila pia akijikanganya akatumia mabavu atakutana na mziki wetu, sisi Wakenya ni wale wale hatukawiikuliamsha maana tumetoka mbali.

Mkuu tuko pamoja. Tukijifunza yote kama yanavyotujia, kiroho safi:

Tunayo ya kujifunza kwa Raila, baba wa demokrasia, Kenya

Ruto ana funzo kwetu dhidi ya walamba asali

Cc: Stefano Mtangoo
 
Fuel subsidy sio njia ya muda mrefu ya kukabiliana na tatizo la bei ya mafuta, hapa kwetu mama kajitutumua kuweka bilioni kadhaa kila mwezi ila hali ikiendelea kuwa kama hivi ataiondoa tutarudi kwenye uhalisia. So kwa nini upoteze muda kwenye solution za muda mfupi kwenye tatizo lisilo na dalili za kuisha??.. Inataliwa utafute suluhisho la kudumu na ndio anachokifanya Hustler.
 
Pole, wewe endelea na makasiriko yako.

Kwetu baharini ndugu. Raha twajipa wenyewe. Raha yetu ipo kwenye kufuatilia mambo kama Waberoya wa zama za Yesu (Matendo 17:11-12), na tunafuatilia kweli kweli.

Habari ndiyo hiyo.
Cc Waberoya
 
Fuel subsidy sio njia ya muda mrefu ya kukabiliana na tatizo la bei ya mafuta, hapa kwetu mama kajitutumua kuweka bilioni kadhaa kila mwezi ila hali ikiendelea kuwa kama hivi ataiondoa tutarudi kwenye uhalisia. So kwa nini upoteze muda kwenye solution za muda mfupi kwenye tatizo lisilo na dalili za kuisha??.. Inataliwa utafute suluhisho la kudumu na ndio anachokifanya Hustler.

Bei halisi ya mafuta hadi hapa nchini CIF haifiki 1,500/- @ lita. Kuna kodi na tozo zenye majina yake tofauti ya kutafuta kwa tochi zenye kuifikisha bei hizi huku tulipo.

Mama anaweka ruzuku kutoka wapi? Si aseme tu kuna tozo chache kazipunguza kiasi?

Haya mambo mengine mwambieni awe na japo aibu kidogo kwenye kujaribu kudanganya watu wazima.
 
Jitahidi usiwe unavuta bangi mbichi
Bosi wa Ruto na wa Mtawala wetu ni 1, yanayotokea TZ yatatokea Kenya pia, Ruto hajashinda Uchaguzi bali amewekwa pale na nwo, anakwenda kufwata nwo agenda 2030 kama vile kwetu ambapo moja ya malengo makuu ni depopulation of Afrika, imeshaanza kwetu Kenya is next.

Ruto hajashinda Uchaguzi bali kawekwa na nwo kumaliza Waafrika kwa njaa za makusudi, magonjwa ya maabara na infertility of men.

Utasikia tozo zinaanza n.k. na wao pia wataletewa Mwigulu wao wa kumlaumu na kumuangushia zigo lote wakati ukweli ni kwamba Mwigulu haamui chochote nchi hii, wote wananamtumikia Bwana mmoja!
 
Jitahidi usiwe unavuta bangi mbichi

Ruto kama vile huyu wenu ni nwo project, wanafwata agenda 2030 main agenda ni depopulation of Afrika, Tanzania imeshaanza, sensa haikuwa sensa kama mnavyoamini/niswa, njaa ya kutengeneza inakuja, magonjwa na chanjo za lazima sasa hivi wameshaanza kubeep na surua TZ next ni ebola, …
 
Alisema Uhuru, huyu anayejiita Hustler na apewe kama miezi mitatu tu, mambo atayakoroga.

View attachment 2357480

Huyu bwana aliahidi mbingu huko Kenya lakini tayari kwa mwendo huu kumekucha:

1. Ruto anaondoa ruzuku kwenye mafuta ya magari.

"Petrol, Diesel na mafuta ya taa kupaa hadi juu ya 200 Ksh @ lita."

Zingatia 1 Ksh ni takribani 20 Tsh.

View attachment 2357481

2. Ya pesa za watu benki ki mwendazake mwendazake nayo yanawanyemelea:

Uhuru era traders face billions in tax demand after KRA expose'

Na bado!

Ni suala la muda tu.
Msaada je hayo magari yanatembea na hayo mabango au nimeona vingine
 
Sasa mtu anakwambia anataka chama chake kiwe Kama CCM?
Sasa chama kimejaa vibaka na wewe unakichukulia Kama Cha mfano!!yaani chama ambacho watanzania wanakilaani yeye anataka kurithi mfumo wake.Alafu na yule Makamu wake anaonekana chenga tu!
Ahahaaaa anaitwa Rigathi Gachagua aka Riggy boy
 
Bosi wa Ruto na wa Mtawala wetu ni 1, yanayotokea TZ yatatokea Kenya pia, Ruto hajashinda Uchaguzi bali amewekwa pale na nwo, anakwenda kufwata nwo agenda 2030 kama vile kwetu ambapo moja ya malengo makuu ni depopulation of Afrika, imeshaanza kwetu Kenya is next.

Ruto hajashinda Uchaguzi bali kawekwa na nwo kumaliza Waafrika kwa njaa za makusudi, magonjwa ya maabara na infertility of men.

Utasikia tozo zinaanza n.k. na wao pia wataletewa Mwigulu wao wa kumlaumu na kumuangushia zigo lote wakati ukweli ni kwamba Mwigulu haamui chochote nchi hii, wote wananamtumikia Bwana mmoja!
Kwani hauna kichwa
 
Watu wenye akili kama zako ni hasara tu kwa taifa, na mkiwa wengi ni hasara kubwa zaidi.
Ruto kama vile huyu wenu ni nwo project, wanafwata agenda 2030 main agenda ni depopulation of Afrika, Tanzania imeshaanza, sensa haikuwa sensa kama mnavyoamini/niswa, njaa ya kutengeneza inakuja, magonjwa na chanjo za lazima sasa hivi wameshaanza kubeep na surua TZ next ni ebola, …
 
Watu wenye akili kama zako ni hasara tu kwa taifa, na mkiwa wengi ni hasara kubwa zaidi.
IMG_20220914_180443_804.jpg
 
Minyumbu ya Chadema wana mental hysteria all the way across the borders, i thought may be for local politics only, kumbe ukiwa nyumbu is for local and international, vichwa vibuyu tupu, pumbaf..!! But i am not amazed, if their Chairman is F6 Div 0, his followers must be below that in IQ, mtajua wenyewe huko, U have no IQ.
 
Minyumbu ya Chadema wana mental hysteria all the way across the borders, i thought may be for local politics only, kumbe ukiwa nyumbu is for local and international, vichwa vibuyu tupu, pumbaf..!! But i am not amazed, if their Chairman is F6 Div 0, his followers must be below that in IQ, mtajua wenyewe huko, U have no IQ.

Nyerere aliwaongelea kwa ufasaha watu kama wewe:

IMG_20220916_233133_436.jpg
 
Back
Top Bottom