Kuhabarisha kuna shida gani? You need to know the world around you! hajakosea kwa lolote
Yetu ni ku deal na haki na kujifunza kote. Hiyo ndiyo njia pekee ya kuondoa ujinga.
View attachment 2357055
Heri kuwa mstari wa mbele maana niko mbioni kutoka. Wewe uko wa nyuma, utafia humo humo.Katika hilo kundi upo mstari wa mbele
Akili zetu bwana tunazijua wenyewe
Raia woteβzetuβ wewe na nani?
KWA jirani pakichafuka kwako uchafuka pia.Thus mtoto ni wa Jamii,mzazi ni mleaji tuAcha unazi na mambo ya watu, deal na tozo zako
Tuliwaambia wakalilia wembe.Ruto is another dictator Arap Moi.Moi kafufuka.Ruto ni mbaya kuliko Magufuli na ni rafiki sana wa Museveni. Nyangβau watalimia Meno. Ni katili kuliko shetani Magufuli. Kuanzia next week Kenya mafuta shs 5000 ya kitanzania kwa lita moja.
Raia wote
Wa nchiRaia wote wa wapi?
Hujui kwamba hizi nchi zipo karibu na zinaingiliana kibiashara au ww unaishi kwenye mkebe!!??Acha unazi na mambo ya watu, deal na tozo zako
Huyu ni mkurupukaji ashauriki ngoja awachanganyie wa kei sukari na chumvi watakunywa tu
Mtu yeyeto anaejifichia kwenye dini chunga Sana mtu hio ni chui
Unategemea nini mtu aliyelelewa na dictator kuwa malaikaNi kilio na kusaga meno, Uhuru aliona mbali aliko atakuwa anachekaaa .. ππ
Taxpayers to foot SGR bill following President Ruto's port order
Hiki ndio kilikuuma au kuna kingine?
Unategemea nini mtu aliyelelewa na dictator kuwa malaika
Tayari ni dictator? Ka dictate nini?Unategemea nini mtu aliyelelewa na dictator kuwa malaika
Dictator ni mtu anae nguvu zaidi kuliko akili kuwakandamiza watu.Tayari ni dictator? Ka dictate nini?