Wewe nani alikuambia hawafanyi hivyo Europe?. Europe hakuna restriction za kununua Ardhi au nyumba. wenyewe mnashindwa kununua tu. Ardhi inalipiwa kodi, namaanisha ukinunua nyumba lazima Kila mwaka ulipie kodiKwanini Marekani, Canada, Europe, Australia, na nchi zote hazifanyi hivyo?, wajaribu kufanya hivyo hata wiki moja tu waone kitakachotokea, hata huyo Uhuru Kenyatta mwenyewe ataacha urais na kukimbilia huko, hivi Somalia leo wakifungua mipaka yake, nani aende huko?, nani anataka kwenda kuishi Kenya, nchi yenye matatizo lukuki? mauaji ya kiholela na ukabila?, kamwe asitulaghai, nchi wameivuruga hakuna anayetaka kwenda ndiyo anajaribu kutuingiza choo cha kike.