All East African Citizens to enjoy equal rights as Kenyans in kenya, only need national ID card.

All East African Citizens to enjoy equal rights as Kenyans in kenya, only need national ID card.

Matajiri kama Manji wote watakimbilia Kenya, usiniulize kwa nini, the time will say
Una jicho la mbali sana aisee hii itakuwa ni invitation kwa type hizo za watu sio masela kama feruzi au mr nice waliofulia
 
Hii nzuri ila sisi wayanzania tusijalibu hii, Kenya cha kupoteza hawana kwani ardhi yenyewe yote tayari inawenyewe, tuchukue hayo nengine lkn so mambo ya ardhi,
Wewe usiwaze masuala ya ardhi wacha watanzania waende Kenya kujifunza maisha
 
Hahhaha..natamani Somalia ingizwe EAC uone jinsi wakenya watakavyo reverse hiyo sheria. Hata hivyo masharti yakupata hiyo ID yakoje?
Unajua Wasomali ni mojawapo ya makabila makubwa zaidi Kenya?
 
wakenya wenyewe hawa enjoy equal rights. sembuse mgeni. waache wapambane na hali yao ya kubaguana na ukabila.
 
Mwambie Kenyata offer zake cc waTz hatuzitaki fumbo mfumbie mjinga mwerevu ............samahani napitatu.
 
Hii nzuri ila sisi wayanzania tusijalibu hii, Kenya cha kupoteza hawana kwani ardhi yenyewe yote tayari inawenyewe, tuchukue hayo nengine lkn so mambo ya ardhi,
You are right brother huo ni mtego wa panya
Wanataka kutumia mlango wa nyuma kupata malisho ya ngombe
Pia kutibu ugonjwa wa ukabila kwa inter marriage
Lkn its too late.
 
Hatujasahau kitu yake ya coalition of the willing-northern corridor na kum sideline JK!
Yaahh baada ya kuona ile mission imefeli sasa wanataka kutudanganya kwa njia nyengine lkn kwa bahati mbaya Kenya hawana cha kutuvuta
Kuanzia
Ajira
ARDHI
Fursa mbali mbali
Wanawake wazuri
Mambo yote hapo huku bongo
Kenya hawana jipya
 
Yaahh baada ya kuona ile mission imefeli sasa wanataka kutudanganya kwa njia nyengine lkn kwa bahati mbaya Kenya hawana cha kutuvuta
Kuanzia
Ajira
ARDHI
Fursa mbali mbali
Wanawake wazuri
Mambo yote hapo huku bongo
Kenya hawana jipya
Wao wenyewe wamejazana kwenye nchi za watu kusaka maisha huko hamna cha maana wabaki tu na linchi lao
 
Wao wenyewe wamejazana kwenye nchi za watu kusaka maisha huko hamna cha maana wabaki tu na linchi lao
Sisi.uzuri.we2..2najikuna.2jipatapo...c.kama.nyinyi mujaa.Nairobi.ombaomba
You are right brother huo ni mtego wa panya
Wanataka kutumia mlango wa nyuma kupata malisho ya ngombe
Pia kutibu ugonjwa wa ukabila kwa inter marriage
Lkn its too late.
 
watanzania tunao wakutosha ila ni omba omba wale wengi. hii offer labda kwa waiethiopia na wengineo. watanzania application zao omba omba wamechukua tayari!!!

Tanzanian couple, 'beggars' arrested over ploy for money in Embu town

Nov. 12, 2015, 7:00 am
By KNA
1242002.jpg

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.

He said the arrests followed a tip-off from members of the public, who informed them the group stayed at a hotel in the town.
 
Where is the land that a foreigner can own while it's own citizens can't? Too much and enough of politicians bs.
 
SISI KAMA CHADEMA TUNAMATAKA MAGUFURI ARUHUSU WATU WA NCHIZ ZINGINE KUINGIA BURE NCHINI,,KUNUNUA ARDHI,KUOMBA KAZI NA KUFANYA BIASHAHARA ILI TUENDANE NA KASI YA USHINDANI
waanze kwanza marekani hiyo ni rahisi kenya na madagascar
 
mh uhuru yuko smart nchi yake imeganda kiuchumi ardhi imeshikiliwa na wasiozalisha hivyo wageni waje na mihela wachukue wazalishe wakora wa naii waajiliwe ,wasichana wa kenya si wazuri kabisa (toa waliochanganyia waethiopia na somali) nazungumzia akothee type the native majority ,wanaume wakenya pia ni nerds wanaongoza kupigwa na wanawake so wanahitaji wageni sana good for kenya .ila hapa tuongelee kenya tu na kuwapongeza no comparison method
 
Just a reminder to all that believed the hogwash inaugural speech from Uhuru, Matiangi is reviewing working permits of all foreigners including East Africans. Tanzania knows Kenya's hypocrisy better a reason hawatusumbui.


CC:
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11 , YoungD, COLLOH-MZII RELOADE, REDEEMER, Nairoberry
 
Back
Top Bottom