Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kuna teknolojia ya kurefusha, shingo inavutwa kwenda juu.Nakidhi vigezo vyote ila mi mfupi mwaya
Naona unamsemea Mungu bhna.Kinywaji hutumii inamaana hata maji hunywi??? Mpaka hapo ushakosa vigezo inaonyesha wewe muongo! Na ukisema ni typing error au ulisahau kuweka vizuri maelezo Bado utakua hufai kwa matumizi ya Mke mmaana utakua upo Careless kwa vitu vidogo vidogo na muhimu.
Halafu hutakiwi kumuogopa Mungu bali anataka umtii na kumuheshimu. Kila siku anawambia mumfanye kua Rafiki yake maana yeye haogofyi mpaka mumuogope
Don't be mad at me natania tu!!
Hakuna kitu kilicho ta full potential (100%) All the Best mate👊
Will be contacted..hio shortlist ya mwanaume duhh!![emoji45][emoji45]
Usijali atakugawiaKila la kheri mpendwa ukipata wengi wengine tugawie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lol
Nauliza Tena..Sisi Tunaokaribia Kustafu Tuna Nafasi Binti.?Vipi Sisi Wa 49?Tuna Nafasi Hapa?
Nauliza Tena..Sisi Tunaokaribia Kustafu Tuna Nafasi Binti.?Vipi Sisi Wa 49?Tuna Nafasi Hapa?
[emoji28][emoji28][emoji28]Kwanini mlimchoma mwenzetu kwa moto????
Tatizo inawezekana unataka mtu ambaye kashajijenga tayari.salaam.
Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.
Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?
Una miaka35! Umeshakuwa bibi wewe, unataka mwanaume wa miaka37 awe smart...haupo serious wewe!salaam.
Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.
Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na