All is set for Somalia to join the EAC

The problem with you you down loaded but you failed to summarize what you got no point there just telling me the introduction of SADIC I doubt kama unaelewa ulivyo down load tatizo letu Tz ni elimu duh
 
Ha ha ha wewe jamaa unawambia ukweli wakenya hadi nacheka mwenyewe
 

kaka yaelekea uko makini sana. tafadhali tunaomba taarifa mpya ya utafiti ambayo inaikanusha taarifa hiyo ya awali inayosema Kenya is failed. iwe ya taasisi ileile au nyingine ya utafiti.
 
The problem with you you down loaded but you failed to summarize what you got no point there just telling me the introduction of SADIC I doubt kama unaelewa ulivyo down load tatizo letu Tz ni elimu duh
Hivi unaelewa tulichoanza kubadili

Nakukumbusha ulisema *Kenya haiwezi kukubaliwa kujiunga SADC sababu ni threat kwa uchumi Wa SA*

Nikauuliza je unazijua sifa za kujiunga SADC na je umeshawahi jiuliza kwann SADC ni Tanzania pekee kutoka EAC ndio himo?

Nimekuletea Summary ya maswali na majibu ili ujifunze ila naona unakuwa kichwa ngumu kama mama kayayii

Kwa taarifa yako , Kenya haiwezi na haitaweza kujiunga SADC ,,,,,, topic Closed
 
Nitaendelea kukuelimisha kwasababu ninafahamu matatizo ya wakenya wengi katika kutumia akili, wengi mpo na uwezo mdogo sana wa kufikiria.

A failed state inahusisha vigezo vingi sana, uchumi sio kigezo muhimu sana katika vigezo vinavyoangaliwa, kwahiyo kwasababu Kenya ilikuwa ranked as a Lower middle income country, sio kigezo cha kuifanya isiwe a failed state, Syria ni Middle income with per capital income more than three time that of Kenya, but still a failed state country, the problem of capitalism is that you worship Money very much in such that you think everything is solved when you have Money, if so why don't you eliminate tribalism?, terrorism, insecurity, hunger, divided country, political violence and others, these are very important indicators for any country to be judged as a failed state.
 
Waruhusiwe tuu wajiunge

1. Tanzania mwaka huu tumelima tani nyingi za nafaka na hatuna pa kuuza wafungue soko huko tupelleke

2. Zamani wakati wa ukoloni wasomali walijiita kuwa ni waarabu ili waweze kupata mgao mkubwa wa resheni lakini sasa wametambua kuwa ni waafrika

3. Matatizo ya vita wanayokubaliana nayo ni ya kisaikolojia kwani wamekata tamaa na wanahisi kama wametengwa. Wakipata fursa ya kuchangamana na wenzao watabadilisha uonga wanaoamini

4. Wenngine watasafiri, watasoma mila za wengine, wataoleana na kubadili mitazamo yao ya kijamii kama mila na dini na hivyo kuondoa matatizo wanayokumbana nayo ambayo kimsingi ni ya kidhana na kutokuwa na ufahamu mpana wa elimu mbadala tofauti na elimu ya dini
 
Wala hajui historia ya SADC, kichwa mbovu sana.
 
Shida iliopo TZ nikwamba hamjui kufanya advertisement ya nchi yenu. Ukiangalia sekta ya utalii very little adverts, Mmenyamaza sana. Sekta ya sports and athletics hamna wachezaji ambao wanaweza kuitambulisha TZ kwa nchi za nje.
kenya kuna idara maalum ya propaganda kazi yao nikupigia debe kenya. Makampuni pia huwa wana sponsor international games like safari sevens, rhino charge na KCB safari rally. These things bring alot of tourists and raises alot of investor intrest in the country.
Mjikakamue kwa haya
 
Wewe ni ng'ombe sana ulidhani singekufahamu? Wewe ni Mtanzania aliyeishi Kenya na kuifahamu lugha ya Kikuyu. Wewe ni Mtanzania kabisa, end of story.
 

you touched my heart brother especially when you said Kenyans think that everything can be solved so long as you have money. in matter of fact money is not everything, even at individual level money can not do everything for you.
we need to remember that.
 
Utamu wa usingizi umekolea kwenye nchi yenu ya Tz. Awamu hii kwenu imejawa na chuki dhidi ya Kenya ndani ya ndoto zenu zisizoisha. Viongozi wenu wanasahau msimamo wao wa, Kenya lazima ianguke ili Tz ipae, bado ni ndoto tu ndani ya usingizi wa kuvuta blanketi.
 
kaka yaelekea uko makini sana. tafadhali tunaomba taarifa mpya ya utafiti ambayo inaikanusha taarifa hiyo ya awali inayosema Kenya is failed. iwe ya taasisi ileile au nyingine ya utafiti.
Tuko katika mwaka wa 2018 habari iliandikwa 2013,Kenya imeshafanya chaguzi mbili,,wakenya wanaendelea na maisha yao,tumeona vipi mahakama kuu ya Kenya ilivyotengua ushindi wa uchaguzi,hii imeonyesha vipi muhili muhimu inavyofanya kazi bila ya kuingiliwa...

2018 watanzania bado wanauana kwa ajili ya siasa, Tanzania bado inashindwa kuwapa haki wapiga kura kwa yule wanaemtaka,tumeona Zanzibar nini kimetokea wakati wa uchaguzi,uvunjwaji wa haki za binadamu,Tanzania raisi ni Bunge,raisi ni mahakama,raisi ni kila kitu,"fascism"....

Mbaya zaidi nchi yangu Tanzania imeingia kwenye mfumo wa "police state"....

Ijapokuwa watanzania ni wavivu wa kufikiri,tumia akili yako hapo,mnang̈́'an'gania habari iliyotolewa kwa wakati fulani kwa madhumuni fulani,mnafikiri kwa hisia sio kwa uhalisia wa jambo...fikiria mwenyewe ni nchi gani ina "status of failed state"
 
Jibu swali uliloulizwa, lete utafiti mwingine ulioonyesha Kenya is no longer a failed state. Kwani ni mwaka gani Kenya ilipowekwa kundi la Lower middle income country, je kwasababu iliwekwa miaka mingi iliyopita sasa hivi haimo tena imesharudi kwenye kundi la zamani?
 
Vigezo vya kuwa member SADC ni kama kuwa member katika Commonwealth countries, lazima kuwe na commonality. Kenya walikua wanasafisha boots za askari wa wazungu ili kwenda kuwaua black South Africans, Kenya isahau kuhusu SADC
Ona huyu. Wakati wa vita vya Mau Mau, mkenya akimchinja chinja mzungu nyinyi watz mlikuwa mnafanya shughuli gani ya kujikomboa? Kando na uchawi na kujinyunyuzia maji 'bullet proof' vifuani eti ndo mkapambane na wakoloni wenye bunduki, baada ya kunyimwa mishahara yenu kwenye mashamba ya mabwanyenye, mlifanya nini cha ziada? Babu zetu walikuwa wanajitengenezea bunduki zao milimani wakati Maji Maji wanajitoa mhanga kama shabaha wa mzungu. Unajua mkoloni aliangusha mabomu ya aina gani na kiasi gani kule mlima Kenya? Hail Field Marshall Dedan Waciuri Kimathi, Hail MAU MAU!
 
Huo utafiti wa sasa tuwekee wewe,kwasababu wewe ndio ulieanza kwa kutuwekea utafiti wa zamani...,mimi kazi yangu ni ku-comment kilichobandikwa jamvini sio kutafiti
 
Huo utafiti wa sasa tuwekee wewe,kwasababu wewe ndio ulieanza kwa kutuwekea utafiti wa zamani...,mimi kazi yangu ni ku-comment kilichobandikwa jamvini sio kutafiti
Hakuja fanyika utafiti mwengine baada ya huo, kwa hiyo matokeo ya mechi ya mwisho ndiyo yanayoendelea kuaminiwa hadi timu zitakaporudiana tena, kwa sasa hivi Yanga ndiye bingwa japo simba inaongoza ligi.

Tafiti hupingwa kwa tafiti, sio vinginevyo, kama tafiti ya mwisho inaonyesha Kenya ni failed state na Tanzania ni LDC, zitabaki kuwa hivyo hadi tafiti zingine zitakapofanyika na kutoa matokeo tofauti, punguza kutumia utashi wa akili yako
 
Tunazungumzia baada ya hizi nchi kuwa huru, ndipo zilipoanza kuwa na uwezo wa kujiamulia mambo yao wenyewe, ninyi mliamua kuwakumbatia wazungu waliokuwa wanawauwa waafrika wenzetu kama kuku, ubinafsi wenu ulianza zamani sana sio leo.

SADC ni muungano wa nchi zilizopambana na ukoloni na ubeberu wa wazungu katika ukanda wa kusini mwa Africa, Kenya mlijitenga kwa kuwaogopa wazungu wasiwakatie misaada.
 
Muache huyo jamaa, hiyo ni kawaida yake. Nadhani ni kiingereza huwa hakielewi hata kidogo. Yeye akigoogle tu Kenya 'failed' na 'state' basi anaieka kama 'source' ya taarifa yake! Wakati hata humo ndani hajui kinachoongelewa wala hajui aliyeandika taarifa yenyewe ni nani na iliandikwa lini. Rudi kwenye ule uzi wa usambazaji wa umeme Kenya na Tz utajionea vituko. Usijisumbue kusoma link alizoziweka hapa jf. Utapoteza muda wako bure tu. Ila kama umejitolea kumuelimisha ni sawa pia.
 
Lofa kabisa, unabadilisha gia angani baada ya kusema kwamba wakenya hawakumwaga damu ili kujikomboa kutoka kwa minyororo ya mkoloni. Hakuna vita vilivokuwa vya kihuni hapa Afrika zaidi ya vita vya MAU MAU dhidi ya mzungu na vile vya Menelik dhidi ya muitaliano. Tanzania mlikuwa wapi tukidondoshewa mabomu na mamilioni ya wakenya wakifungiwa kwenye 'Concentration Camps' za mkoloni? Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…