Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana wiki hii jijini Kampala kutoa msimamo wao kuhusu uanachama wa Somalia kwenye jumuiya hiyo.
Somalia imekuwa ikiomba na kukataliwa mara kwa mara.
Tusubiri tuone. Busara itumike tu.
More to follow....
Wakuu EAC kujadili ombi la Somalia
Somalia imekuwa ikiomba na kukataliwa mara kwa mara.
Tusubiri tuone. Busara itumike tu.
More to follow....
Wakuu EAC kujadili ombi la Somalia