All is set for Somalia to join the EAC

All is set for Somalia to join the EAC

you touched my heart brother especially when you said Kenyans think that everything can be solved so long as you have money. in matter of fact money is not everything, even at individual level money can not do everything for you.
we need to remember that.
Human resource, willingness to break all barriers and work extra hard is Kenya's biggest plus, not money! You guys just don't get it!
 
Lofa kabisa, unabadilisha gia angani baada ya kusema kwamba wakenya hawakumwaga damu ili kujikomboa kutoka kwa minyororo ya mkoloni. Hakuna vita vilivokuwa vya kihuni hapa Afrika zaidi ya vita vya MAU MAU dhidi ya mzungu na vile vya Menelik dhidi ya muitaliano. Tanzania mlikuwa wapi tukidondoshewa mabomu na mamilioni ya wakenya wakifungiwa kwenye 'Concentration Camps' za mkoloni? Bure kabisa.
Mpumbavu kama wewe hajawahi tokea humu ndani, mimi nimekuambia katika kuzisaidia nchi za Afrika kupigania uhuru, acha ujinga wewe, utawezaje kuihukumu nchi ambayo ilikuwa haijawa huru?.

Acha ujinga ninarudia, hakuna nchi ambayo haikupigana na wakoloni kabla ya uhuru, Tanzania kulikuwa na vita vingi tu kabla ya Uhuru, vikubwa ni vita na vya majimaji na vitaka kati ya wajerumani ambapo mara ya kwanza wajerumani walishindwa, na waliporudi mara ya pili wakamshinda mkwawa, vita vingi dhidi ya wakoloni vilikuwepo, lakini havikuwa vikiendeshwa na serikali huru yenye kupanga maamuzi ya nchi.

Hivi kwani wewe ni mjinga sana?, Kenya itauhukumiwa kama nchi kuanzia 1963, na Tanzania kuanzia 1961. Pia nchi haitahukumiwa kwa kile ilichokifanya kwa ajili ya manufaa yake bali kile ilichokifanya katika kusaidia wenzake, acha ujinga sometimes.
 
Mpumbavu kama wewe hajawahi tokea humu ndani, mimi nimekuambia katika kuzisaidia nchi za Afrika kupigania uhuru, acha ujinga wewe, utawezaje kuihukumu nchi ambayo ilikuwa haijawa huru?.

Acha ujinga ninarudia, hakuna nchi ambayo haikupigana na wakoloni kabla ya uhuru, Tanzania kulikuwa na vita vingi tu kabla ya Uhuru, vikubwa ni vita na vya majimaji na vitaka kati ya wajerumani ambapo mara ya kwanza wajerumani walishindwa, na waliporudi mara ya pili wakamshinda mkwawa, vita vingi dhidi ya wakoloni vilikuwepo, lakini havikuwa vikiendeshwa na serikali huru yenye kupanga maamuzi ya nchi.

Hivi kwani wewe ni mjinga sana?, Kenya itauhukumiwa kama nchi kuanzia 1963, na Tanzania kuanzia 1961. Pia nchi haitahukumiwa kwa kile ilichokifanya kwa ajili ya manufaa yake bali kile ilichokifanya katika kusaidia wenzake, acha ujinga sometimes.
Mpumbavu ni wewe hapo...
hivi wewe hujiona una akili sana kushinda wengine...kila kitu unaongea unaona uko sahihi..
.
Mara mingi uko wrong sanaaaaa.
End of this discussion.
 
Mpumbavu ni wewe hapo...
hivi wewe hujiona una akili sana kushinda wengine...kila kitu unaongea unaona uko sahihi..
.
Mara mingi uko wrong sanaaaaa.
End of this discussion.
Jinga kabisa wewe, msalimie mkeo.
 
Hiyo ni hadi Ramaphosa akalie kiti vilivyo, kisha amnong'onozee Mnangagwa, ndo ujumbe uwafikie JPM and wenzake. Hapo tayari mkutano utakuwa ushaisha! 😀
Hao wote tumewapa Uhuru sisi[emoji23] Fuatilia history utaona South nani alimsaidia
 
Even Ethiopia should apply to join this EAC bandwagon to expand the market base. I support Somalia's inclusion because this will instill in them some sense of belonging and integration hence watering down the radicalism.
 
Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana wiki hii jijini Kampala kutoa msimamo wao kuhusu uanachama wa Somalia kwenye jumuiya hiyo.
Somalia imekuwa ikiomba na kukataliwa mara kwa mara.
Tusubiri tuone. Busara itumike tu.
More to follow....
My opinion (It's not a fact) is that hao watu wasikubaliwe kujoin EAC. Alshabab watajaa humu mitaani. Infact waendelee tu kuchinjana huko kwao
 
My opinion (It's not a fact) is that hao watu wasikubaliwe kujoin EAC. Alshabab watajaa humu mitaani. Infact waendelee tu kuchinjana huko kwao
"Selfish mentality" hiyo.... hao wote nibinadamu.....Africa ni moja mualimu alisaidie nchi nyingi za kiafrica kupata uhuru na kupambana na ubaguzi wa Somali ni Watu kama sisi
 
Mpumbavu kama wewe hajawahi tokea humu ndani, mimi nimekuambia katika kuzisaidia nchi za Afrika kupigania uhuru, acha ujinga wewe, utawezaje kuihukumu nchi ambayo ilikuwa haijawa huru?.

Acha ujinga ninarudia, hakuna nchi ambayo haikupigana na wakoloni kabla ya uhuru, Tanzania kulikuwa na vita vingi tu kabla ya Uhuru, vikubwa ni vita na vya majimaji na vitaka kati ya wajerumani ambapo mara ya kwanza wajerumani walishindwa, na waliporudi mara ya pili
Kwa matusi haya ni wazi kwamba sindano imekuingia. Matusi hayabadili uhalisia wa mambo. Akili zako unazielewa mwenyewe. Mara unasema kwamba Tz haiwiezi hukumiwa kwa mambo yaliyofnyika kabla ya uhuru, baada yake unatumia hiyo hiyo historia kuendeleza pumba zako. Kwani baada ya uhuru kuna watu wapya ambao walihama wakaingia na kuchukua nafasi ya wakazi wa Tz? MAU MAU haikupigania uhuru wa wasomalia. Damu walomwaga ndo inafanya hadi sasa tujiite wakenya ndani ya nchi ya Kenya. Ikifika kwenye ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya ukoloni wa mzungu, usijaribu tena siku nyingine kulinganisha Kenya na mambo ya kipuuzi!
 
Tanzanians need to know that the biggest resource kenya has is the people. We always forge ahead despite all the challenges.
 
Hao wote tumewapa Uhuru sisi[emoji23] Fuatilia history utaona South nani alimsaidia
Kumbe kusaidia ndo kupeana uhuru? Haya basi, mbona sasa hivi wao pia hawawasaidi kupata uhuru wenu wa kichumi na kimaendeleo? Yaani wamewatupa kuule, sasa hivi wanapaa wakiwa pekee yao. Au usaidizi mlowapa hawakuwa wanauhitaji sana?
 
Mpumbavu ni wewe hapo...
hivi wewe hujiona una akili sana kushinda wengine...kila kitu unaongea unaona uko sahihi..
.
Mara mingi uko wrong sanaaaaa.
End of this discussion.
Sijui huwa wanashindana na nani kujaza server na upumbavu na ujinga. Consistently very wrong! Product za St. Kayumba, bila shaka!
 
Even the six countries have failed to fulfill their obligations and need alafu tunaongeza shida ju ya shida. We have not even seen a single fruit of EAC now adding salt in the would. Bora Trump atuite to sit holes
 
It will be interesting to know Kenyan position on this matter, considering the on going border dispute with Somalia
 
It will be interesting to to know Kenyan position on this matter, considering the on going border dispute with Somalia
I think Somalia joining the EAC will water down the dispute.....with all the free movement and shared resources
 
I think Somalia joining the EAC will water down the dispute.....with all the free movement and shared resources
Well...yes and no, we still have Rwanda and Burundi they don't see eye to eye. And there problems are far less than Kenya-Somalia which involved lucrative oceanic area.
 
hii itakua makosa makubwa sana...Somali haifai kukubaliwa hata iwe nchi sembuse mwanachama wa EAC....alshabaab watakuwa wakisafiri kana kwamba ukanda huu ni wao...
 
Back
Top Bottom