Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ila nyashπ, anaitwa naniNipo nafwatilia all stars comedy ni mbaya mpaka sasa hakuna cha maana ni wanalia watu pesa zao comedy hawana new things or thoughts π ambazo zina washawishi watu wanaanza kuleta mambo ya mitano tena
Kama huyu comedy si mkubali na sijawai mwelewa kabisa kanajikuta nyodo nyingi kisa kalio
View attachment 3238429
Kalil likowapi?Nipo nafwatilia all stars comedy ni mbaya mpaka sasa hakuna cha maana ni wanalia watu pesa zao comedy hawana new things or thoughts π ambazo zina washawishi watu wanaanza kuleta mambo ya mitano tena
Kama huyu comedy si mkubali na sijawai mwelewa kabisa kanajikuta nyodo nyingi kisa kalio
View attachment 3238429
Namjua kwa uso tuIla nyashπ, anaitwa nani
Kaliangalie insta kapanda stage anatingisha tako tuKalil likowapi?
Wanatuleta vitu ambavyo tushaviona na washawai ongeleaStand-up comedy ya hawa ndugu zetu sijawahi kuzielewa kabisa huwa nikiangalia badala nicheke najikuta nawaonea huruma
Nisha achana nayoTafuta channel nyingine uangalie mkuu, usiboreke na channel moja usiyoielewa
Ahahah wapi ukoMkuu huo muda bora ungekuwa unaangalia pilau!.
Waongeze nguvu na wajitahidiAngalia ku support local content ila ki ukweli bado sana
Salama sijaona akicheka nahisi wengine wanacheka kujilazimisha wanaionea huruma pesa yaoNi kweli hakuna jipya kabisa nawaza hao wanao Cheka wana shida gan?π€£
ππKaliangalie insta kapanda stage anatingisha tako tu
Safii mkuu, ingawa wapo baadhi unaweza kuwachungulia wanajitahidi kidogoNisha achana nayo
Labisa siwez poteza pesa yanguStand up comedy show za bongo ni bora ukae home upige nyeto ukimaliza uende bar ukanywe pombe... Stand up comedians 90% hawajitambui hana akili hawana exposure hawana content hawajui ku present... Ni hovyo kabisa...