All star comedy imepoa sana

All star comedy imepoa sana

Nipo nafwatilia all stars comedy ni mbaya mpaka sasa hakuna cha maana ni wanalia watu pesa zao comedy hawana new things or thoughts 💭 ambazo zina washawishi watu wanaanza kuleta mambo ya mitano tena

Kama huyu comedy si mkubali na sijawai mwelewa kabisa kanajikuta nyodo nyingi kisa kalio
View attachment 3238429
Sasa unafuatiliaje kitu usichokikubali
 
Back
Top Bottom