All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.

Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
Nilisubiri uje upamgue tuhuma๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Yani wewe hujawahi kumiliki pesa kabisaaaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Basi najua atatokea wa kunilipia tu hilo sina wasiwasi nalo, kwanza bila uwepo wangu hilo party lenu halitanogaโ€ฆโ€ฆ.
Inatakiwa tuwepo wa kuchachua shughuli
Mkuu Uzi wangu sijui kwanini Mods wameufunga sina access nao tena kama utaona hii comment Tuwasiliane Tafadhali Lamomy
 
Huyo ndio angezidisha kichefuchefu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ule uzi toka jana jioni active alitoa warning nikaona shughuli inafika mwisho
Ule uzi una laana,Niliwahi kuandika uzi unahitaji chumvi ya mawe na mafuta ya Mwamposa mkapotezea ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom