Nilisubiri uje upamgue tuhumaππ[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.
Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
Wacha weee ndio crush wako wa JF π
Huyo ndio angezidisha kichefuchefu πππNilisubiri uje upamgue tuhumaππ
Mkuu Uzi wangu sijui kwanini Mods wameufunga sina access nao tena kama utaona hii comment Tuwasiliane Tafadhali LamomyYani wewe hujawahi kumiliki pesa kabisaaaa ππππ
Basi najua atatokea wa kunilipia tu hilo sina wasiwasi nalo, kwanza bila uwepo wangu hilo party lenu halitanogaβ¦β¦.
Inatakiwa tuwepo wa kuchachua shughuli
Hapana kipenzi mie sina crush yoyote humu ila kuna baadhi ya watu nawakubali kwa comments zao au post kama huyo bwana Kagame au kaka yangu Gily Gru tumejuana humu tumekuwa kama family friends mpaka mume wangu anamjua mzee wangu JBourne59 The Boss Mzee wa ku like raraa reree π INSIDER MAN Glenn DR Mambo Jambo marehemu leadermoe na kadhalika.Wacha weee ndio crush wako wa JF π
Mahi una mume wewe πππ
Nmefanyaje?Muone! π
Msamehe plz ukimuacha unamuachia nani?Kuna vitu naweza kusamehe ila sio 3000
π acha kutia huruma kastuli. Unadhani huo ndio mwisho wa kumkosea?Sasa hapa si ume kandia kabisaπ€, nusu albinoo huja wahi kuwa Kama sisi.
π ndio hadi ubold?Nusu albinoo for life π€,
Kusema ukweli I don't give a shit about it bro.π acha kutia huruma kastuli. Unadhani huo ndio mwisho wa kumkosea?
Wapo wengi atapata JfMsamehe plz ukimuacha unamuachia nani?
Ule uzi una laana,Niliwahi kuandika uzi unahitaji chumvi ya mawe na mafuta ya Mwamposa mkapotezea πππHuyo ndio angezidisha kichefuchefu πππ
Ule uzi toka jana jioni active alitoa warning nikaona shughuli inafika mwisho
Shemeji yangu nilishakuzoea πWapo wengi atapata Jf
Kumbe vizuri sana πππHapana kipenzi mie sina crush yoyote humu ila kuna baadhi ya watu nawakubali kwa comments zao au post kama huyo bwana Kagame au kaka yangu Gily Gru tumejuana humu tumekuwa kama family friends mpaka mume wangu anamjua mzee wangu JBourne59 The Boss Mzee wa ku like raraa reree π INSIDER MAN Glenn DR Mambo Jambo marehemu leadermoe na kadhalika.
Ndo hivyo shem nimepigwa kibuti π₯ΉShemeji yangu nilishakuzoea π
u don't give a shit eehπKusema ukweli I don't give a shit about it bro.
Nina mengi ya kuwaza na kufanya, unajua Nina vitabu ka 14 vya kusoma Mwaka huu.
Ndo kwanza niko Cha kwanza
Uzi mchachu sana ule πππUle uzi una laana,Niliwahi kuandika uzi unahitaji chumvi ya mawe na mafuta ya Mwamposa mkapotezea πππ
Pole sana shem ila mngeyaongea myamalize, upweke unakaba sanaNdo hivyo shem nimepigwa kibuti π₯Ή
SIKAZII, jirani uo n uongo πUzi mchachu sana ule πππ
Ss hivi ukirudishwa sikanyagi ntabaki huku huku kwenye vinyuzi vya kawaida
Utaenda unakuta umeitwa ukisoma comment unaambiwa umefanya vile ππUzi mchachu sana ule πππ
Ss hivi ukirudishwa sikanyagi ntabaki huku huku kwenye vinyuzi vya kawaida