All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.

Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
Nilisubiri uje upamgue tuhuma😁😁
 
Yani wewe hujawahi kumiliki pesa kabisaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Basi najua atatokea wa kunilipia tu hilo sina wasiwasi nalo, kwanza bila uwepo wangu hilo party lenu halitanoga…….
Inatakiwa tuwepo wa kuchachua shughuli
Mkuu Uzi wangu sijui kwanini Mods wameufunga sina access nao tena kama utaona hii comment Tuwasiliane Tafadhali Lamomy
 
Huyo ndio angezidisha kichefuchefu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ule uzi toka jana jioni active alitoa warning nikaona shughuli inafika mwisho
Ule uzi una laana,Niliwahi kuandika uzi unahitaji chumvi ya mawe na mafuta ya Mwamposa mkapotezea 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…