Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo liko wazi kabisa huyo alikua anakutania tu.Huyo pisi kali wako, alisema ameolewa. Hivyo jimbo hakipo wazi π
Yeah, nina kesi na wewe.
Sawa, nitakwambia kosa lako. Jiandae maana kuna fine pia.Jimbo liko wazi kabisa huyo alikua anakutania tu.
Em nambie nimefanya nin Analyse tafadhali.
Utaolewa utake usitakeπππLabla umchagulie mwingine mimi nishaingia mkataba na mtoto wa Mama mkwe mpaka kifo kitakapo tutenganisha.
Hapana best hatanii huo ndio ukweliJimbo liko wazi kabisa huyo alikua anakutania tu.
Em nambie nimefanya nin Analyse tafadhali.
Naomba unambie hapa maan unaniweka roho juu juu navoogopa makosaππππππSawa, nitakwambia kosa lako. Jiandae maana kuna fine pia.
Hapana kwa kweli sitaweza πUtaolewa utake usitakeπππ
Tutakubeba juu juuHapana kwa kweli sitaweza π
Wakati wewe umeshindwana na Kaka yangu yule,unanitafutia mimi maumivu staki πππTutakubeba juu juu
Kaka gani mama?Wakati wewe umeshindwana na Kaka yangu yule,unanitafutia mimi maumivu staki πππ
3000Kaka gani mama?
πππ
ππππ wanakuwa na chuma uleteShida ya kkoo unaweza ukauza na ukamaliza mapema shida inaanzia kwenye kuhesabu maokotoπ
Hahahaa!! Sitaki kuamini mawifi mmeungana kumsimanga buloo ππππWakati wewe umeshindwana na Kaka yangu yule,unanitafutia mimi maumivu staki πππ
Kwa kweli Wakinga,Wachaga,Wahindi naππππ wanakuwa na chuma ulete
ππππ Ila nyie mmeamua kunikondeshea ndugu yangu.!!!Si ww bina wanguπππ
Au unataka kumpa mtu ubini, mie simooo sitaki kutolewa connection bure mie nikakufa na mipresha panda nishuke.
Mbona usemi habari za partyπ
Eeh ww utavaa nin kwenye party au kaunda suti ya kitenge cha ccm mbele kwa mbele?
πππππ Mtajua hamjuiKwa kweli Wakinga,Wachaga,Wahindi na
Waarabu tuwape heshima yaoππ»ππ»
Hapan usinichonganishe mimi sikuwa wifii kwa maana hata Mama mkwe hakunijua,Hata namba yake sijui ni mtandao gani ππHahahaa!! Sitaki kuamini mawifi mmeungana kumsimanga buloo ππππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Momy unanijua kabisa mim sio mnafki.3000
ππππ Na wewe si ndo ulikuwa unaelekea uko jamani wiiβ¦ hutaki mama atumiwe pesa ya kuku pasaka??Hapan usinichonganishe mimi sikuwa wifii kwa maana hata Mama mkwe hakunijua,Hata namba yake sijui ni mtandao gani ππ