Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Pole sana shem wangu waswahili wanasema mtoto akinyea mkono ....,Nimedhalilika mimi hata nguvu za kutamba sina🤨
Msamehe blaza ila kumbuka huo ni mwanzo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana shem wangu waswahili wanasema mtoto akinyea mkono ....,Nimedhalilika mimi hata nguvu za kutamba sina🤨
I'll be there for you rafiki...😅😅😅 you better be there.
Basi ntatokea pia😅😅😅 you better be there.
Sasa hapa si ume kandia kabisa🤔, nusu albinoo huja wahi kuwa Kama sisi.Pole sana shem wangu waswahili wanasema mtoto akinyea mkono ....
Msamehe blaza ila kumbuka huo ni mwanzo tu
Sifa za wakata tiketi .
1.. Wasiwe shepless
2.. wasiwe na vitambi
3... wasiwe wakimya wajue kuwaintertain wateja
4. Wasiwe na sura kama za baba zao
5. Sura isiwe mbaya hadi inakataa make up wasiwe na makomwe na pia wawe wananywele ili hata wasukiwe mawigi.
Je kati hizo zote bibie sifa unazo??
Kuna vitu naweza kusamehe ila sio 3000Pole sana shem wangu waswahili wanasema mtoto akinyea mkono ....
Msamehe blaza ila kumbuka huo ni mwanzo tu
Hiyo tu, kipindi we came in town, I had nothing.Kuna vitu naweza kusamehe ila sio 3000
Hiyo tu, kipindi we came in town, I had nothing.
Ngoja nikupigie debe🤣🤣 Ninazo na zaidi
HIZO TIKITI ZIKO WAPI?Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one.
Namimi nikiwa moja ya hile kamati! Na kwakuwa imepita muda mrefu basi tunaleta wazo kwenu ili anagalau tukutane tuojadili mambo ya maendeleo Kila mtu anabaki na User name yake labda ukiamua wewe kuisema ila siyo lazima kutaja user name yako kwa sababu za kiusalama!
Njia ambayo itakayotumiwa ni kuuza tikiketi kwa mtandao hata katika vituo ambavyo vitatajwa hapo baadae..Kwa sasa ni kutoa wazo muitikio wenu ndiyo utatoa ruhusa ya kufanyika hili jambo! Naleta kwenu wazo!
Ataikimbia JF very soonHahaha ..............kuelekea 2025 ndiyo hali yake itakuwa mbaya zaidi
Akumbuke CCM hawaachiani Maji 😅
Kwa kweliAtaikimbia JF very soon
Mzee wa Masada😁Kwa kweli
Kama ana Shule kidogo, tumsaidie awe hata Mtendaji wa Mtaa pale Jiji 😅
Unazingua 😄Ukiona raraa reree kakokent kwa mbwbwe basi mada ni ya moto sana
Can’t wait…. Naanza kusaka gauni langu 😅I'll be there for you rafiki...
Muone! 😅Basi ntatokea pia
I miss you Glenn.Jmn dada
Oyooooooo!!! 😂😂😂Hii ndo fursa yenyewe aise
Maana nimechoka zurula mwenge na kkoo pasipo mafanikio.
Usijali tiketi mbili na za udugu wako zitapatikana
Dada yangu mzuri, asante nimkumiss piaI miss you Glenn.