Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,109
- 5,284
Duh kwahiyo watapigwa juu na chini? Urusi anapiga juu Iran anapiga chiniNaam; tayari ameshatuma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kwahiyo watapigwa juu na chini? Urusi anapiga juu Iran anapiga chiniNaam; tayari ameshatuma!
Duh yaan wazungu? Sasa kinachogombaniwa hapo ni niniNi mchanganyiko!
Wapo kutoka ulaya na bara Asia.
Tunapiga tu kama kwenye filamu za Azam Tv.Hakuna kushindwa asilani abadani.Waislam hatujawahi shindwa vita inshallah
Wallah wabillah taufiqTunapiga tu kama kwenye filamu za Azam Tv.Hakuna kushindwa asilani abadani.
Msisahau kauli mbiu.:Mje na akili zenu tu.Hilo tumbo mliache hukohuko.Msikiti wa Shehe tumbo tunakuja na tamko hivi punde.
Naaam marhaban!🙏Wallah wabillah taufiq
Wapo wengi, hivyo ni lazima kwanza wapunguzwe nguvu na wazuiliwe wasiendee mbele zaidi na ndiyo maana Russia anatumia ndege zake.Duh kwahiyo watapigwa juu na chini? Urusi anapiga juu Iran anapiga chini
Msisahau na kurjua'an maana utaahira umenizidi sasa!😂😂😂🙏Tutakusomea Albadiri kijana, ngoja ostadh tumbo atoke msalani.
Kwa hiyo wote wakivuta trigger( kuruhusu risasi kutoka kwenye mtutu wa bunduki) wanaimba Allahu akbar? kama wahuni wa hamas walipovamia Israel wakati wanabaka walikuwa wakifikia kishindo kukojoa wanaimba Allahu akbarsafi sana apooo...suni vs shia wazipigee tuone nani kidumee wa team kobazz....yaani palee ni waongezwee silahaa tu walinogeshe disco
Mkuu umechimba KIMATAIFABwana Mkubwa!
Iraq wametapakaa kwenye mipaka yao ili kuwazuia hao magaidi wasije wakaingia kwenye nchi yao! Hawajaingia Syria!
Waliingia Syria ni Iran wametuma special force ambayo ipo sambamba na wanajeshi wa Urusi.
Hao siyo rebels, hao ni magaidi! Wakifika eneo hawaangalii wewe ni sunni au shia, nyote mtachinjwa!
Isis wamechinja masheikh wengi sana wa kisunni Iraq na Syria wameua masheikh wa kisunni mpaka ndani ya msikiti.
Hao ni project maalumu ya wakubwa! Ukumbuke pia sababu maalumu ya vita ni Bashar Al Assad kukataa kupitishwa kwa bomba la gesi kutokea Qatar kwenda nchi za Ulaya ili kumdhoofisha Russia kiuchumi.
Dunia hii ukanda wowote utakaokuwa potential huwa hautulii ukijifanya kututumua misuli! Na Syria ni mojawapo, ni eneo muhimu kwa ME na Ulaya.Duh yaan wazungu? Sasa kinachogombaniwa hapo ni nini
Duh Asante sanaDunia hii ukanda wowote utakaokuwa potential huwa hautulii ukijifanya kututumua misuli! Na Syria ni mojawapo, ni eneo muhimu kwa ME na Ulaya.
Ndiyo maana US, Russia, Turkey na Iran wote wapo na kila mmoja ana maslahi yake.
Meza inapinduliwa mda si mrefu, Urusi hana masihala na acheki na kima.Syrian rebel advance brings exiled Aleppo residents back to city
Syrian opposition fighters have pushed Assad’s forces out of Aleppo, allowing exiled residents to return for the first time in eight years. A coalition of armed rebel groups has advanced rapidly, marking a dramatic new phase in the 13-year Syria war.
Al Jazeera
sema waarab usitumie bara asia kuficha neno waarabNi mchanganyiko!
Wapo kutoka ulaya na bara Asia.
kwan unahisi hakuna wazungu waislam ? na wao wanapigania shariaDuh yaan wazungu? Sasa kinachogombaniwa hapo ni nini