Tetesi: Alliance Schools yalazimisha watoto kuchanga Tzs100,000 ili kushiriki mahafali 2019/viongozi mlikane hili

hujaelewa, uhudhurie usihudhurie Laki unatoa ndio ilivyo; sio tu laki ni kubwa bali ni lazima. nadhani umeelewa. na kwa vile mahafali inafanyika wiki 2 baada ya mtihani watoto wengine walikwisha safari kwenda Rukwa, Mbeya Kuja Dar Tabora etc lakni ama warudi kwa gharama zao ama wasirudi kwa hofu ya gharama laki lazima atoe wakati wa kuchukua cheti. Umeleewa???

 
Biashara huria, shule zipo nyingi sana. ukiona wanazingua usipeleke mtoto kwenye shule zao.
 
Upo sahihi, lakni kwa la graduuuu, hakuna namna utahamisha mtoto akafanye gradu OMEGA

Biashara huria, shule zipo nyingi sana. ukiona wanazingua usipeleke mtoto kwenye shule zao.
 
Mchango wa graduation ni lazima
 
Sasa watashindana vipi na kina Simba, Yanga na Azam?!
 
Panachimbika vipi sasa ? Kuna watu tumemaliza Secondary level zote na hakuna mzazi alikuja na tupo poa tu.
Wazazi wenu wa enzi hizo .Sasa hivi utaulizwa vizuri kwa Nini ulimzaa wakati unajua hata hela ya graduation huna.Watoto wanasoma somo la haki za binadamu tofauti na nyie mlikuwa mkienda Kama mazobe tu
 
Harusi na graduation vitu mbili tofauti; harusi unajaribu kusaidia wapate na hela ya kuanzia maisha. iwapo shule nayo inataka chenji hapo sawa mkuu


100,000/3 = 33,000/=
Michango ya harusi unachangia she ngapi?
 
Wazazi wenu wa enzi hizo .Sasa hivi utaulizwa vizuri kwa Nini ulimzaa wakati unajua hata hela ya graduation huna.Watoto wanasoma somo la haki za binadamu tofauti na nyie mlikuwa mkienda Kama mazobe tu
Aaah wapi miaka ya elfu mbili na mbili ni zamani ? Tuliona wazazi walokuja. Ila mimi binafsi wala sikumind wa kwangu kutokuja. Hapa nakumbia hata UDSM mimi sikurudi kwenye graduation.
Hata wanangu,i thank God wanasoma shule ambayo hakuna mambo ya graduation.
Sherehe hazina mashiko.
 
WATU MASIKINI WANA MATATIZO KWELII !!!!

HIYO SHULE NI YA WATOTO WA MATAJIRI SASA WEWE KINACHOKUUMA NI NINI KUCHANGISHWA 100,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…