Tetesi: Alliance Schools yalazimisha watoto kuchanga Tzs100,000 ili kushiriki mahafali 2019/viongozi mlikane hili

Tetesi: Alliance Schools yalazimisha watoto kuchanga Tzs100,000 ili kushiriki mahafali 2019/viongozi mlikane hili

mrejesho tu ni kuwa serikali ilitia timu siku hiyo kuona hayo malipo ya 10,000 kwa kila kichwa kuanzia mtu wa 3 kuendelea maana baba na mama (watu 2)tu ndio waliruhusiwa kwa ile laki. Waliufyata in summary na watu kuserebuka; hela ipo ila kuibiwa hatupendagi ujinga aiseee

Tunaandika hapa sio kwa ajili ya vidampa kuongea upuuzi wao, tunakua serikali ipo hadi hapa. HONGERA SERIKALI


Na ni ujinga kudhani mtu akilalamika eti hana hela ya kutosha, mistaken view of poor Tanzanians;

Asanteni
Masuala ya kuspend hata ukiwauliza wachumi mara nyingi yanaambatana na saikolojia ya mtumiaji. Ndio maana hata kwenye vikao vya uchangiaji wa hiari wengine wanatoa milioni na wengine hata laki lakini kwa lengo moja la kufanikisha. Na sehemu nyingine unaikuta soda imeandikwa kabisa bei yake kuwa 500/- lakini mtu anauziwa 2,000/- bila ya malalamiko kuwa wamemuibia.
Sasa Alliance wana mambo yao, hata kama kwenye hiyo laki walikuwa wanatumia 30,000/- labda 70,000/- ilikuwa ni mchango kwa timu yao ya mpira au majengo nk (indrectly).
Tanzania inahitaji miaka walau 600 (mia sita) kufika ilipo Amerika au China na huenda hizo ndio mbinu zenyewe za kutufikisha huko
 
Labda mkuu, sijafuatilia, lakini kwa uzoefu wangu na shule za private jambo kama hili wazazi huwa tunashirikishwa! kama haikuwa hivyo hapo kuna shida!
Usipende kuzungumzia jambo usilolijua, utaratibu wa shule moja ni tofauti na shule nyingine, tena ipo tofauti kubwa sana.
 
Masuala ya kuspend hata ukiwauliza wachumi mara nyingi yanaambatana na saikolojia ya mtumiaji. Ndio maana hata kwenye vikao vya uchangiaji wa hiari wengine wanatoa milioni na wengine hata laki lakini kwa lengo moja la kufanikisha. Na sehemu nyingine unaikuta soda imeandikwa kabisa bei yake kuwa 500/- lakini mtu anauziwa 2,000/- bila ya malalamiko kuwa wamemuibia.
Sasa Alliance wana mambo yao, hata kama kwenye hiyo laki walikuwa wanatumia 30,000/- labda 70,000/- ilikuwa ni mchango kwa timu yao ya mpira au majengo nk (indrectly).
Tanzania inahitaji miaka walau 600 (mia sita) kufika ilipo Amerika au China na huenda hizo ndio mbinu zenyewe za kutufikisha huko
Angalau hii ni hoja yenye kushawishi kidogo.
Japo huko America kwenye michango ya maendeleo au ya sherehe za kijamii kama mahafali hakuna kulazimisha michango mikubwa kinguvu namna hii ya Alliance.
 
Angalau hii ni hoja yenye kushawishi kidogo.
Japo huko America kwenye michango ya maendeleo au ya sherehe za kijamii kama mahafali hakuna kulazimisha michango mikubwa kinguvu namna hii ya Alliance.
Mtoto mdogo analazimishwa kula, akishakua hata haitwi bali anajua mwenyewe chakula tayari.
Once we grow we will also bacome so
 
Mtoto mdogo analazimishwa kula, akishakua hata haitwi bali anajua mwenyewe chakula tayari.
Once we grow we will also bacome so
Mtoto mdogo wa miezi 2 hawezi kulazimishwa kula ugali, sababu hana uwezo wa kumeng'enya chakula kigumu.
What it's the moral of this story?
Spend below your means, don't over spend, buy what you can afford.
Sio kila alie peleka mtoto Alliance ana uwezo wa kuchangia kiasi kikubwa namna hiyo. Wengi wamejikakamua ili mradi mtoto apate elimu bora. Hayo mengine ni nyongeza tu baada ya kile cha msingi alichofuata hapo shule.

Wengine wametumbuliwa au wameyumba kiuchumi wakati mtoto tayari yupo Alliance tena miaka ya mwisho wakaona bora wauze vitu vya thamani mtoto amalizie shule tu.

Msijifikirie ninyi tu, wafikirieni na wenzenu nyakati hizi ngumu. Ni rahisi kuongea kwa jeuri kabla hayaja kukuta majanga kama hayo niliyo sema.
 
Si wengine tulimaliza shule kama tumetoka jela binasfi graduation nilizisikia kwenye bomba
 
Kama huudhurii unatoa ya nini? Na usipotoa watakufanya nini? Hili jambo siyo la kuja kulalamika hapa bali inabidi wazazi wenyewe waseme wazi kuwa hizo fedha ni nyingi na hatuwezi kutoa. Vinginevyo kama mna ile tabia ya nyumbu, ya kutokuwa na msimamo na kuogopa kuchekwa basi toeni. Ingekuwa mimi siku ya graduation namchukuwa mwanangu nampeleka mbuga za wanyama au shemu nyingine yoyote ya maana. u namfanyia sherehe nyumbani. Ni bora utumie fedha nyingi kwa utashi wako kuliko kulazimishwa kutoa fedha au kutoa kwa kufuata mkumbo.
Unasema tu kwasababu haijawahi kukutokea,kulalamika hapa inasaidia kuleta awareness ili shule zijitafakari .
Kumpeleka mtoto shule ya gharama haimaanishi ndo mpewe na michango mingine isiyoeleweka.
Shule anayosoma mtoto wangu natoa 100,000 kila mwaka kulipia graduation, next year anaingia form four natoa 150,000, hiyo inaenda shuleni. Hapo bado Kuna vikao vya wazazi kujadili graduation sijui Zawadi ya watoto na Zawadi ya shule..tunaipa shule Zawadi gharama ni kuanzia 60,000 Hadi 100,000 kumtegemea mtoto wako yupo kidato gani.
Haya Mambo ni ya kipuuzi Sana na ukilalamika wazazi wenzako wakushangaa na usipotoa hupewi kadi ya kuhudhuria graduation ambayo inaruhusu watu wawili tu kuhudhuria. Na habari zinapelekwa kwenye uongozi wa shule kuwa mzazi fulani ni mkorofi kutoa michango,mtoto wako anaanza kuchukiwa kwaajili yako mzazi uliyeshindwa kugharamia yote hayo.
Maisha magumu lkn bado tunajitwisha mzigo wa masherehe ya gharama ambayo hayana mbele Wala nyuma.
This time nimeambiwa Kuna mchango wa MWENGE 5000. Najiuliza inakuaje iwe lazima na je hiyo pesa inaenda serikalini au wapi. Na kwanini nichangie?
So kuleta issue Kama hii inasaidia kujua yanayoendelea kwenye hizi shule private. Ni lazima tudiscuss hadharani
 
Laki ndogo sana ukilinganisha na thamani ya tukio lenyewe la maafali,
 
Unasema tu kwasababu haijawahi kukutokea,kulalamika hapa inasaidia kuleta awareness ili shule zijitafakari .
Kumpeleka mtoto shule ya gharama haimaanishi ndo mpewe na michango mingine isiyoeleweka.
Shule anayosoma mtoto wangu natoa 100,000 kila mwaka kulipia graduation, next year anaingia form four natoa 150,000, hiyo inaenda shuleni. Hapo bado Kuna vikao vya wazazi kujadili graduation sijui Zawadi ya watoto na Zawadi ya shule..tunaipa shule Zawadi gharama ni kuanzia 60,000 Hadi 100,000 kumtegemea mtoto wako yupo kidato gani.
Haya Mambo ni ya kipuuzi Sana na ukilalamika wazazi wenzako wakushangaa na usipotoa hupewi kadi ya kuhudhuria graduation ambayo inaruhusu watu wawili tu kuhudhuria. Na habari zinapelekwa kwenye uongozi wa shule kuwa mzazi fulani ni mkorofi kutoa michango,mtoto wako anaanza kuchukiwa kwaajili yako mzazi uliyeshindwa kugharamia yote hayo.
Maisha magumu lkn bado tunajitwisha mzigo wa masherehe ya gharama ambayo hayana mbele Wala nyuma.
This time nimeambiwa Kuna mchango wa MWENGE 5000. Najiuliza inakuaje iwe lazima na je hiyo pesa inaenda serikalini au wapi. Na kwanini nichangie?
So kuleta issue Kama hii inasaidia kujua yanayoendelea kwenye hizi shule private. Ni lazima tudiscuss hadharani
Kuleta hapa siyo vibaya ila vibaya ni kuleta hapa na kukaa kimya ukitegemea kwa kuandika hapa tatizo litaisha. Kushughulika na tatizo kama hili siyo kulalamika tu bali inabidi uchukuwe hatua. Kwa mfano mzazi mmoja anaweza akajitolea na kufanya kampeni ya kuwashashiwi wengine. Siyo kuwa mimi haya hayanikuti ila mimi huwa sihangaiki na upuuzi kama huu kwa sababu ni mtu mwenye msimamo hata kama nikibaki peke yangu. Mwaka jana mke wangu alikuja na ''ujinga'' wa kiniambia eti mtoto wetu aliyekuwa chekechea anatakiwa kutoa fedha za joho la kuvaa wakati wa ''graduation'' ya kumaliza chekechea na kuingia darasa la kwanza. Hapo unakuta fedha zinazotumika ni chache sana na nyingine zote zinaingia kwenye mifuko ya walimu. Kwa kifupi hatukutoa na mtoto hakwenda kwenye sherehe. Watanzania ni waoga kuwa na msimamo hasa wanapoona wengine wanafuata mkumbo. Tubadilike kwani bila sisi kubadilika huu ujinga hautaisha.
 
ukifuatilia nyuzi nyingi utajua watu wengi ni wachawi tofauti ni hirizi tu.

ebu FIKIRI KWANZA bei za bidhaa moja kwenye maduka tofauti tofauti mijini. kinachochangia hilo ni hadhi ya duka lenyewe.

wenye kujua viwanja wameshazoea coka 350ml kwa 1,000/= hali maduka jirani na majumbani kwao ni 500/=

kikubwa kama unaona Alliance wanafaidi, anzisha academy yako panga mahafali 500,000 watachangia tu.
 
Back
Top Bottom