Tetesi: Alliance Schools yalazimisha watoto kuchanga Tzs100,000 ili kushiriki mahafali 2019/viongozi mlikane hili

Tutaona Namna Nzuri Sana Ya Kulifuatilia Yaani Watu Wanavuna Pesa Bila Shaka Uelekeo December
 
Muda sio mrefu tutakuja ona uzi hapa ukisema "kikao cha harusi kimepitisha mchango wa sh. 100,000/- kama minimum ya kupewa card hivyo tunaiomba serikali iingilie kati"! Uzuri imeshatamkwa kwamba mwenye chake auze kwa bei atakayo!
 
Acha kulia lia mkuu
Mtoto wako mlete mashenzini secondary school.
Huko kama haumudu acha kujikakamua utakuja kutoa ushuzi mbele za wakubwa.
 
Thank God shule wanayosoma hakuna graduation wala mtihani wa darasa la saba. Mwakani September first born anaingia form one. Kutakuwa na mtihani wa kumaliza O lever ila hakuna graduation.
 
Mimi nimesoma shule zote sijawahi hata kuvaa joho tu.
Mpaka degree ya pili sikuvaa hilo joho nadhani hata PhD sitovaa
Yaani nikupe hela ya maafali wakati ada yenyewe nadunduliza?
 
Mimi nimesoma shule zote sijawahi hata kuvaa joho tu.
Mpaka degree ya pili sikuvaa hilo joho nadhani hata PhD sitovaa
Yaani nikupe hela ya maafali wakati ada yenyewe nadunduliza?
Mimi PhD yangu nilidefend then nikamaliza. Hakuna cha joho wala nini. Inshort sijawahi vaa joho and iam OK with that. Mimi hujali vitu vya msingi tu.
 
Mimi PhD yangu nilidefend then nikamaliza. Hakuna cha joho wala nini. Inshort sijawahi vaa joho and iam OK with that. Mimi hujali vitu vya msingi tu.
I take that one!!!
 
Shuke nyingi za private hiyo ndio gharama ya graduation. Kama wazazi wameridhia hamna shida.
 
Kama huudhurii unatoa ya nini? Na usipotoa watakufanya nini? Hili jambo siyo la kuja kulalamika hapa bali inabidi wazazi wenyewe waseme wazi kuwa hizo fedha ni nyingi na hatuwezi kutoa. Vinginevyo kama mna ile tabia ya nyumbu, ya kutokuwa na msimamo na kuogopa kuchekwa basi toeni. Ingekuwa mimi siku ya graduation namchukuwa mwanangu nampeleka mbuga za wanyama au shemu nyingine yoyote ya maana. u namfanyia sherehe nyumbani. Ni bora utumie fedha nyingi kwa utashi wako kuliko kulazimishwa kutoa fedha au kutoa kwa kufuata mkumbo.
 
Millioni 200.
Mapambo.....
Vinywaji.....
Muziki.....
Chakula.....
Zawadi...... (wanafunzi na walimu)
Ukumbi....
Kodi......
Faida....?
Linganisha 100,000/= na ada ya 2.5Mln + kwa Mwaka.
Kwa ufupi kama uliweza kuwekeza zaidi ya 15Million kwa miaka minne,100k ya graduation sio issue.
100,000/3= 33,000/= per head.(baba,mama,mtoto) ni reasonable wrt to ada ya shule.
 
mrejesho tu ni kuwa serikali ilitia timu siku hiyo kuona hayo malipo ya 10,000 kwa kila kichwa kuanzia mtu wa 3 kuendelea maana baba na mama (watu 2)tu ndio waliruhusiwa kwa ile laki. Waliufyata in summary na watu kuserebuka; hela ipo ila kuibiwa hatupendagi ujinga aiseee

Tunaandika hapa sio kwa ajili ya vidampa kuongea upuuzi wao, tunakua serikali ipo hadi hapa. HONGERA SERIKALI


Na ni ujinga kudhani mtu akilalamika eti hana hela ya kutosha, mistaken view of poor Tanzanians;

Asanteni

Muda sio mrefu tutakuja ona uzi hapa ukisema "kikao cha harusi kimepitisha mchango wa sh. 100,000/- kama minimum ya kupewa card hivyo tunaiomba serikali iingilie kati"! Uzuri imeshatamkwa kwamba mwenye chake auze kwa bei atakayo!
 
Ulifanya vyema,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…