Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mtaongea yote mpaka mmalize Wakuu ila kumbukeni AS Vita kesho kutwa wapo Dar.Tukumbushane assists
za ALLY ALLY VS YANGA
1. Yanga vs Stand United ,2018
Shuti toka kwa Yusuf Muhilu ally ally akajifunga ktk harakat za kuokoa mpira
2. KMC VS YANGA ,2019
*ALLY ALLY alisababisha faulo katika nje ya penat area na hatimaye FEISAL SALUMU Kufunga bao la ushindi
3. YANGA VS KMC 2019
Kroc iliyopigwa na IBRAHIM AJIB ikamkuta ALLY ALLY aliyejifunga KWA KICHWA SAAFI KABISA na kupelekea ushindi kwa Yanga katika harakat za kuokoa mpira huo.
Na huo ndo UMUHIMU WA ALLY ALLY kwa YANGA na ndio mchango wake wa kuisaidia Yanga.
Ni mchezaji wa kutegemewa wa Yanga anayechezea team pinzani zinazokutana na Yanga ila mchango wake ni Mkubwa sana
Duh huyo Ally Ally apelekwe kwa mkopo Yanga maana anawachoma sana wapinzani kwenye mechi na Yanga.Mtaongea yote mpaka mmalize Wakuu ila kumbukeni AS Vita kesho kutwa wapo Dar.
Mtaongea yote mpaka mmalize Wakuu ila kumbukeni AS Vita kesho kutwa wapo Dar.
Lugha ya chooni hii.Kwan ndo wanaanza kuja leo wapinzani... Umesahau walikuja Nkana Hapa? Hukumbuki? Walikuja Al ahaly, yanga nao tumekutana nao hapo Taifa Kagere akaingiza kichwa tu wakapatikana watoto mapacha watatu....[emoji16][emoji16][emoji16] Unasahau sana... Kagere akasema baby niiingize kichwa tu hata simalizi...akaingiza akasugua akamwaga bao Watoto mapacha watatu.
Waje Vita na nyie mje nao msiwaache peke yao....
Mambo yote Ally Ally tuAngular velocity ω = v/r,..mpira alioupiga Ajibu ni Physics... Inabidi wanasayansi wa Mlimani wakae chini waumize vichwa...acheni kumlaumu Ally Ally
Kumbe unajua AS VITA anakuja dar... Haji kucheza TPL ni CAF CL ya wababe wa afrika sio Yanga na Biashara.Mtaongea yote mpaka mmalize Wakuu ila kumbukeni AS Vita kesho kutwa wapo Dar.
Tumeshampata Ally Ally wetu kule AS Vita.Mtaongea yote mpaka mmalize Wakuu ila kumbukeni AS Vita kesho kutwa wapo Dar.
Ha ha ha haya mkuu !!!Tumeshampata Ally Ally wetu kule AS Vita.
mikia FC hao ndo zao shem.Simba ni sawa na ndege isiyo na engine