Ally Ally Mchezaji wa YANGA anayechezea Team Pinzani jinsi Anavyoisaidia Yanga kupata ushindi

Ally Ally Mchezaji wa YANGA anayechezea Team Pinzani jinsi Anavyoisaidia Yanga kupata ushindi

Huko ndo kuichangia yanga sio lazma utoe hela kuichangia, afu mjue huyo Ally ally ni Mdogo ake canavaro wanatoka sehemu moja na akiwa hapa dar anaishi kwa kanavaro yeye na feitoto na Ninja, kama uliangalia mpira ulivoisha ally ally na ninja walipiga stori kwa mda kidogo
DONGE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijaona tatizo sababu mistakes katika Mpira huwa zipo Mkuu.

Haya hebu tufanye Mkuu we ndio Ally Ally kwa ile krosi ya Ajibu ungefanya kitu gani pale? Kuwa mkweli tu kwa ile speed ya ule mpira ungefanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ile krosi tu, mechi za Yanga Ally Ally lazima afanye tukio litakalowapa Yanga matokeo. Wazungu wanaita suspicious events hasa zinapotokea mara kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijaona tatizo sababu mistakes katika Mpira huwa zipo Mkuu.

Haya hebu tufanye Mkuu we ndio Ally Ally kwa ile krosi ya Ajibu ungefanya kitu gani pale? Kuwa mkweli tu kwa ile speed ya ule mpira ungefanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Angesimama tu pasipo kuucheza kama alivyofanya Gea Habib wa mwanitesa utd alivyosimama pasipo kujisumbua alivyopigiwa shut kali na XHaka boom #Coyg.
 
Kuna nyuzi zikiisakama kuwa simba inanunua mechi, najaribu kutafakari vipi simba ndo ingekuwa inacheza na hiyo timu halafu likatokea tukio hilo
 
Na hii ndio mnaitegemea sana kwa kutoa makafara mtani ili mpate matokeo.
Lakini hatuwashindi nyinyi mtani
IMG_20190312_095854_704.JPG
 
Kwan ndo wanaanza kuja leo wapinzani... Umesahau walikuja Nkana Hapa? Hukumbuki? Walikuja Al ahaly, yanga nao tumekutana nao hapo Taifa Kagere akaingiza kichwa tu wakapatikana watoto mapacha watatu....[emoji16][emoji16][emoji16] Unasahau sana... Kagere akasema baby niiingize kichwa tu hata simalizi...akaingiza akasugua akamwaga bao Watoto mapacha watatu.

Waje Vita na nyie mje nao msiwaache peke yao....
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakataa tafuteni clip za wachezaji hawa wa Manchester united,Roy Keane na Wesbrown ni kawaida sana kwa mchezaji lakini kama hujawahi hata kucheza chandimu utakuwa huelewi mpira ulivyo
Mmmmmmmm! Nao hao uliowatolea mfano, nao walikuwa wanajifunga walipokuwa wanakutana na timu moja, kama huyu, anayewapa Yanga pointi tatu tatu?
Hebu tufikirie upande wa pili, hiyo mechi ya juzi wangekuwa wanacheza na Simba, halafu wajifunge goli la aina hiyo, huyo Kocha wa Yanga Zahera, angelalamikaje mbeleya vyombo vya habari?
 
Back
Top Bottom